mnazikumbuka nyimbo kali za Extra Musica?

Mchochezi

JF-Expert Member
Feb 29, 2012
10,413
6,569
habari zenu wana jamvi..leo nimekumbuka mziki wa kikongo ulivyotamba enzi hizo..bendi ya Extra musica chini ya Uongozi wa Rogaroga ilitikisa sana. Tukumbushane nyimbo zao zilizotamba tukianza na Losambo..
 
Mimi najua Etat' Major tu, nyingine nazisikia ila sijui zinaitwaje...
 
Ngoja niwatajie hizo nyimbo za Extra Musica zilizotamba enzi hizo. 1.Fredy Nelson 2. Chagrin pluplu 3.Losambo 4.Etat Major 5.Amitat na nyinginezo nyingi. Hili kundi linatokea Congo Blazaville na walikuwa wapinzani wakubwa na Wenge Musica BCBG ambao wanatokea Congo Kinshasa. Washawahi kuchukua tuzo za Kora Africa mara nyini tu.
 
Kinachonikera ni kua kila kundi likipata mafanikio linasambaratika, kwa mfano wako wapi hao Extra Musica? Wenge BCBG? Loketo? Kateratee ya Koffi Olomide? Zaiko langalanga? Tamtam? Bambino sound? Mchinga sound? Fm academia? Na makundi mengineyo yaliyowahi kutamba miaka ya 90?
 
Ngoja niwatajie hizo nyimbo za Extra Musica zilizotamba enzi hizo. 1.Fredy Nelson 2. Chagrin pluplu 3.Losambo 4.Etat Major 5.Amitat na nyinginezo nyingi. Hili kundi linatokea Congo Blazaville na walikuwa wapinzani wakubwa na Wenge Musica BCBG ambao wanatokea Congo Kinshasa. Washawahi kuchukua tuzo za Kora Africa mara nyini tu.

hiyo namba 3 naikubali sana ktk nyimbo zote walizowahi kutoa hao Extra musica
 
Kinachonikera ni kua kila kundi likipata mafanikio linasambaratika, kwa mfano wako wapi hao Extra Musica? Wenge BCBG? Loketo? Kateratee ya Koffi Olomide? Zaiko langalanga? Tamtam? Bambino sound? Mchinga sound? Fm academia? Na makundi mengineyo yaliyowahi kutamba miaka ya 90?

naona maslahi ndio chanzo cha kutengana
 
naona maslahi ndio chanzo cha kutengana

Kama ni masilahi kwa nini wasiteue wasimamizi wa makundi ili kuhakikisha mgawanyo linganifu kuliko kuanzisha kundi linatuburudisha kwa msimu mmoja kisha msimu ujao huwaoni.
 
Kama ni masilahi kwa nini wasiteue wasimamizi wa makundi ili kuhakikisha mgawanyo linganifu kuliko kuanzisha kundi linatuburudisha kwa msimu mmoja kisha msimu ujao huwaoni.

si unajua teena..pesa haina undugu
 
Back
Top Bottom