Ngoja niwatajie hizo nyimbo za Extra Musica zilizotamba enzi hizo. 1.Fredy Nelson 2. Chagrin pluplu 3.Losambo 4.Etat Major 5.Amitat na nyinginezo nyingi. Hili kundi linatokea Congo Blazaville na walikuwa wapinzani wakubwa na Wenge Musica BCBG ambao wanatokea Congo Kinshasa. Washawahi kuchukua tuzo za Kora Africa mara nyini tu.
Kinachonikera ni kua kila kundi likipata mafanikio linasambaratika, kwa mfano wako wapi hao Extra Musica? Wenge BCBG? Loketo? Kateratee ya Koffi Olomide? Zaiko langalanga? Tamtam? Bambino sound? Mchinga sound? Fm academia? Na makundi mengineyo yaliyowahi kutamba miaka ya 90?
naona maslahi ndio chanzo cha kutengana