Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,460
- 39,928
Kulikuwa na "mabingwa wa salamu" ambao walikuwa hawakosekani aidha kutuma salamu au kutumiwa salamu kwenye vipindi mbalimbali vya radio. Unayakumbuka majina yao?
Zamani kila vipindi vya salam kwa njia ya simu redioni majina haya yalikua maarufu sana. Charles imalaya kama simba, kung'ombe chacha sukari muhilo obaré, basu basanga basu,baba dula one, chesco mzee wa matunda, imma kulaya, suzy ngodoki, manka mushi, jumane sebarua tingisha. Dah siku hizi majina haya yamefunikwa sana redion.
Unawakumbuka watuma salamu wa zamani RTD kipindi cha salamu? Kuna jamaa mmoja namkumbuka Chidi Chidi Chitanda alikua hakosekani kipindi cha saa sita mchana. Taja wengine.
Tujikumbushie watuma salamu na watumiwa salamu maarufu ktk Radio mbali mabali.
1.Baba Dura one wa Tanga
2.Chesco mzee wa Matunda
3. ...........
4. ..........