chriss brown
JF-Expert Member
- Nov 3, 2011
- 292
- 63
Inakuaje unamwambia msichana,nna gf wangu..lakini hakuelewi??..siongelei hapa jf,imetokea huyu mdada ananisumbua sana,sina amani.mpaka nikiwa na gf wangu naweka cmu silent.aggggggggggyyyyyyyyyyyy
akikupa na mimi ni PM...huenda namfaham..hebu nipe namba yake ya simu nimcheki, huenda akakusahau.
pumbaaaaaav!!!!!!!!!! unatupotezea muda hapa. Post ujinga wako kwenye maudaku huko. Hapa ni magreat thikers only. never back here with your rubbish.Inakuaje unamwambia msichana,nna gf wangu..lakini hakuelewi??..siongelei hapa jf,imetokea huyu mdada ananisumbua sana,sina amani.mpaka nikiwa na gf wangu naweka cmu silent.aggggggggggyyyyyyyyyyyy
pumbaaaaaav!!!!!!!!!! unatupotezea muda hapa. Post ujinga wako kwenye maudaku huko. Hapa ni magreat thikers only. never back here with your rubbish.
Inakuaje unamwambia msichana,nna gf wangu..lakini hakuelewi??..siongelei hapa jf,imetokea huyu mdada ananisumbua sana,sina amani.mpaka nikiwa na gf wangu naweka cmu silent.aggggggggggyyyyyyyyyyyy
hata wanaume wapo wanaoudhi limtu ulitaki linapiga simu tena usiku mzito sijui vile ni bure? Nachukia yaani wewe acha tu sijui anakuwa anataka muongee nini
kwasababu anajua huyo ni gf tu sio mke wako so naye anajaribu kutupa ndoana yaweza kunasa anaibuka bingo je.............hata wakaka wako ivoivo ukimwambia una bf anajua kumbe bf sio mume so nayy anajaribu kutupa karata mshindi ni yule atayeingia kanisani na kimwana au mshikaji so thats how we play meeeeeeeeeenInakuaje unamwambia msichana,nna gf wangu..lakini hakuelewi??..siongelei hapa jf,imetokea huyu mdada ananisumbua sana,sina amani.mpaka nikiwa na gf wangu naweka cmu silent.aggggggggggyyyyyyyyyyyy
ila hilo nalo la msingi why ulimpa namba yakowe ulimpa namba yako ya nini kama humtaki acheni hizi bana
Inakuaje unamwambia msichana,nna gf wangu..lakini hakuelewi??..siongelei hapa jf,imetokea huyu mdada ananisumbua sana,sina amani.mpaka nikiwa na gf wangu naweka cmu silent.aggggggggggyyyyyyyyyyyy
HATA WANAUME WAPO WANAoudhi limtu ulitaki linapiga simu tena usiku mzito sijui vile ni bure? nachukia yaani wewe acha tu sijui anakuwa anataka muongee nini
kingine mi nakushauri kua nao wote wawili alafu uangalie nani analipa zaidi ndio uingie naye kingi ok............mana waweza kumsitiri uliye naye kumbe naye naajipumzisha tu hapo kwako bado anasafari ndeeeeeeeeeeefu.........
ZINDUKA MEEEEEEEEEEEEEN
mkome kuwapa namba zenu makonda wa daladala, tuopeni sisi waendesha guta, tunachoka ile mbaya, saa moja usiku macho yote mazito kutokana na uchovu na usingizi
tena kinguonguo..