WomanOfSubstance
JF-Expert Member
- May 30, 2008
- 5,457
- 956
...ndio maana nikakwambia inatosha.
Kwahiyo katika hitimisho ndio tunakubaliana lengo, nia na madhumuni ya
kina dada/mama kuvaa kivazi hiki (fashion ya hii) ni kututega?
Balaa sana basi na ndoa zetu hii za 'mshumaa'...!
Tafsida hii nayo imenitoa kapa!
Binadamu tunatofautiana sana kama Mbu wanavyotafautiana LOL.
Kuna wenye kuona raha kuleta tafrani katika mioyo na vichwa vya watu kwa jinsi wanavyovaa mivao ya kutia watu majaribuni.Kuna wenye kuvaa wakajali kupendeza na pia hapohapo kuweka staha.
Wastaarabu wanasema ...ukitaka kujipima wewe ni mtu wa namna gani vivazi vyako vitakuweka kwenye mizani.
YOU SHOULD BE ABLE TO STOP A CONVERSATION UPON ENTERING A PLACE AND NOT START A CONVERSATION!
#Ukianzisha gumzo uingiapo mahali ujue umechemsha.Unatakiwa ukiingia..watu wabaki midomo wazi..akili ikifanya kazi ya ziada kujiuliza NI NANI HUYU? na siyo kuanzisha minong'ono..ukivaa camel's foot iko nje nje ujue utaanzisha minong'ono na umbeya.