...jana mitaani nimeshuhudia kina mama (wengi tu) wa rika mbali mbali wakiwa wametinga kivazi hiki,...
mbaya zaidi kuna wengine wana maungo yale ya kiukweli ukweli,...halafu juu viblauzi vifupi...aaarrrgghhhh!
mitaani tena mchana kweupeee? kina dada mnatutega jamani!
...jamani hichi kivazi kinachoitwa 'leggings' mimi siafikiani nacho jamani, mnnnh....
nini maoni yenu, maana ishakuwa kivazi cha kawaida sasa hata kama 'camel toe' inaonekana waziwazi...
enzi za mwalimu......
hee mwenzangu ulikuwepo miaka hiyoHa ha ha! Umenikumbusha enzi ile ya hekaheka za mgambo na polisi kuwakamata kina mama/dada wenye kuvaa mini! Ilikuwa mshikemshike!!! Miaka ya sabini mwishoni
Hata isipo unika wowowo mimi naona cha muhimu mjitahidi kufunika ile center of gravity,cause hiyo ndio inayo tu tempt zaidi!!!Pole Mbu usitegeke bana, hii ni fashion itapita. Sema baadhi yetu tunakosea kwa kuvaa na blauzi fupi, hii inafaa na blauz ndefu inayofunika wowowo.
Pole Mbu usitegeke bana, hii ni fashion itapita. Sema baadhi yetu tunakosea kwa kuvaa na blauzi fupi, hii inafaa na blauz ndefu inayofunika wowowo.
hilo vazi lapaswa kuvaliwa na kitu juu yake.
lakini wabongo kwa ushamba wao utakuta mtu anavaa na kablouse kafupi
halafu leggings zinapendezea zaidi mtu mwembamba kiasi chake unakuta mtu mnene makalio hayo mahips balaa naye yumo tu mama nsipitwe
kutegegka hapo inakuwa lazima.
Mbu usijali ni vijimambo tu hivyo vya mpito wala visikusumbue akili.
saafi sana! imekaa safi sana nnaipenda ila sitaki wife avae kama