Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Epuka Tamaa Mbaya, usiuendekeze sana mwili.
Nia ya mwili sio nzuri, Mwili hushindana na roho.
Sometimes you have to obey your thirst . . . lol
Wasipoweka mitego na kupendeza nani atawataka??Lazima watutamanishe ili na sisi tutamani la sivyo hata macho hatugeuzi.......
inategemea . . .
sio kila mwanaume ni mdungaji au sio mdungaji
Mmmmmh so obey it, why you lalamika??
Epuka Tamaa Mbaya, usiuendekeze sana mwili.
Nia ya mwili sio nzuri, Mwili hushindana na roho.
we dont lalamika mamii, we advice . . . lol
we dont lalamika mamii, we advice . . . lol
Mie ndo nafanya haya mpendwa katika jina la bwana nawapotezea kinomaaaa
imagine upo kwenye Lecture,halafu bikini yaonekana!
Mimi ni mkristo, lakini katika suala la mavazi ya siku hizi hasa ya akina dada naomba na kuunga mkono sharia ya kiislamu itawale Dunia.
Maana wakristo tumekuwa softi sana katika suala la mavavi kiasi imefikia akina dada wanakuja kanisani na mavazi ya beach na disco halafu utakuta hata bila aibu anapita mbele kupata Chakula cha Bwana!
Epuka Tamaa Mbaya, usiuendekeze sana mwili.
Nia ya mwili sio nzuri, Mwili hushindana na roho.
Epuka Tamaa Mbaya, usiuendekeze sana mwili.
Nia ya mwili sio nzuri, Mwili hushindana na roho.