Mkurabitambo
JF-Expert Member
- Feb 3, 2010
- 230
- 57
haya yalikuwa ni maneno ya Mh Chenge kutokana na chenji za rada alizopewa kama zawadi akaziifadhi kule Uswisi...Leo kauli yake imetimia,tunaambiwa Kumbe ziko zaidi Ya Bilion 300 (million 300,000) huko Uswisi.
hawa viongozi wanajuwa wanachosema huwa hawaropoki tu na kweli sasa naamini billion moja ni visenti tu.
hawa viongozi wanajuwa wanachosema huwa hawaropoki tu na kweli sasa naamini billion moja ni visenti tu.