Mnashangaa Bajaji kuwa Ambulance? hii jee?

Huo ni ubishi wa kitoto. Practicality, kuwa mkweli wa nafasi yako kwanza, kabla ya Kikwete kuja na vibajaji kulikuwa kuna kipi?

Mkuu tumiaga akili yako angalau mara moja kwa mwaka. Mawazo ya kukopi ndio yanatupeleka mbali na mafanikio. Mimi binafsi sikatai kwamba Bajaj no nafuu zaidi ya baiskeli, lkn kwa nini the least? Ingekuwa hatuna uwezo wa kununua magari ingekuwa OK, but why?

Kwani na sisi ni maskini kama Malaysia?
 
Kuna tofauti kubwa sana kati ya picha na kinachotokea.
Mimi kamamdau wa Afya na Elimu......nimepita kwenye hospitali za wilaya kama 10 ndani ya mwezi uliopita.
Hizi takataka zipo zimehifadhiwa kama zilivyopokelewa. ... Mpyaaa!!

Kuna wale walioamua kufungua huo uchafu hapo pembeni na kujipatia usafiri wa pikipiki.

Issues ni mbili:
1) nani aziendeshe? muuguzi au dereva?
2) Zitapita wapi? hiyo takataka inaweza kumtoa mtu Kifura kwenda Kibondo hospital?, Inaweza kumtoa mama mjamzito Muyama kwenda Kasulu DH? atafika? akifika itakuwa baada ya masaa mangapi kama sio 10 Hrs.

aisee! Inabidi wauguzi ndo waendeshe. Cycling paramedics, ngoja zomba akamuambie mukulu wakati wa zile semina telekezi.
Na hayo masaa 10 na uchungu wa kujifungua, kitoto kitaokotwa na wapita njia. Hapo drip sijui tunawekeanaje na oxygen. Hii ni ambulance ama usafiri?
 
It needs blindness and at least incompetent person to support these theoretical and impractical ideas.

The geography of Tanzania is clearly known and the level of poverty is very high to possess at least better road.

-narrow roads

-up and down roads,

-uneven roads,

-ditches all over the ways,

-Rivers without bridges

-protruding stones

-falling trees often needs diversion

etc, etc

No shortcut, the only facility to accommodate the means of transport as per emergence needs effectively with excellent availability and reliability, only could be the four wheeled cars, otherwise near misses and accidents due to overturning could lead us to massive blow and killings of innocent people.
 
Nimeshawasiliana na fundi aje kukifanyia modification kimoja kati ya bajaji 39 ninazomiliki.

Hongera zomba. Kwa vile unavyo vingi nakushauri badala ya fundi ku-modify kimoja bora a-modify kama vinne hivi ili vingine ufanye vyumba vya wageni na choo. Pia aviunganishe kama vibehewa vya treni.
 
Last edited by a moderator:
Hongera zomba. Kwa vile unavyo vingi nakushauri badala ya fundi ku-modify kimoja bora a-modify kama vinne hivi ili vingine ufanye vyumba vya wageni na choo. Pia aviunganishe kama vibehewa vya treni.

hahahaha. Nilidhani utashauri aunge viwili. Hicho kitambi na urefu ataenea humo?
 
Last edited by a moderator:
hahahaha. Nilidhani utashauri aunge viwili. Hicho kitambi na urefu ataenea humo?

Ha ha haaaa! Shauji yake! Itategemea na modification itakayofanywa labda ataunganisha viwili viwili kwa upana viwe na sitting room kabisa! Maana anataka sana tukubaliane na ambulance za bajaji zilizoletwa na magamba. Hatuzitakiiiiiii! Yaani mafisadi wanaiba billions of money wanaficha uswiss kisha wanatununulia bajaji eti ndio ambulance! Tutaziponda daima.
 
Nawasikitikia Watanzania wanapoletewa suluhisho la ubunifu, rahisi na la haraka wanapoliponda. Tazamaeni wenzenu, hivyo hivyo vibajaji wanavifanya nyumba za kuishi:

17-Pictures-To-Blow-Your-Mind-13.jpg


Semeni.

mi mtu wa bara siku zote nilikuwa nikisikia kamsemo "mtu akipenda, chongo huita kengeza" nilikuwa nikidhani ni mipasho ya taarabu.

kwa hii stori yako, kumbe i have been all along wrong...!
 
Nawasikitikia Watanzania wanapoletewa suluhisho la ubunifu, rahisi na la haraka wanapoliponda. Tazamaeni wenzenu, hivyo hivyo vibajaji wanavifanya nyumba za kuishi:

17-Pictures-To-Blow-Your-Mind-13.jpg


Semeni.

Hiki kibajaji mbona kama kimetengenezewa photo point?
 
Huo ni ubishi wa kitoto. Practicality, kuwa mkweli wa nafasi yako kwanza, kabla ya Kikwete kuja na vibajaji kulikuwa kuna kipi?

Unajua siku zile hapo nyuma ilipoandaliwa debate kati yako na mtu fulani mwengine nlikuwa bado sijaelewa ni kwa nini iwe wewe hasa na sio member mwingine yeyote wa jf bwana zomba....nimegundua, you are impossible mkuu!!hakika uliwapa walimu kazi ya ziada sana shule...
 
Na mazingira yetu yenyewe haya mi nadhani it is appropriate for emergencies
but I am not sure it is appropriate kwa wanawake wazito au wagonjwa fulani
 
Na mazingira yetu yenyewe haya mi nadhani it is appropriate for emergencies
but I am not sure it is appropriate kwa wanawake wazito au wagonjwa fulani


Mkuu are you sure?

Not real, given that you understand clearly and beyond doubts roads and passages situations all over Tanzania villages.
 
Unajua siku zile hapo nyuma ilipoandaliwa debate kati yako na mtu fulani mwengine nlikuwa bado sijaelewa ni kwa nini iwe wewe hasa na sio member mwingine yeyote wa jf bwana zomba....nimegundua, you are impossible mkuu!!hakika uliwapa walimu kazi ya ziada sana shule...

Nilikuwa way ahead of them, wala hujakosea.
 
2 Reactions
Reply
Back
Top Bottom