ya kwanza ni uzembe wa dereva.. wewe huwezi kuingiza gari imejaa mzigo hivyo kwenye tope kama hilo kabla hujaangalia njia yenyewe
ya pili huyo dingi akili zimemruka huko kwenye kichwa yani ni hakuna kitu au kaambiwa afanye hivyo na sangoma wa mbele huko.. wakati huku bongo tunaambiwa tufanye hivyo nite kali na masangoma wetu japo kua ni upumbafu mtupu pia...!
ya tatu yaani huyo dogo anaonekana ni shujaa kinoma ila ataumwa mda sio mrefu hapo na ninaomba nijue kua anaendeleaje hospitalini coz najua atakua amelazwa
ya nne ni masikitiko ya miundo mbinu ya nchi hii yaani hapa ninaumia kinyama ila ninaamini magufuli anaona hili pia coz hapa jf anapatikana..
ya tano ndio imeniacha hoi kweli kweli,, huyo jamaa anajua kuandika na anajua kuwasilisha mawazo yake kama jinsi anavyoongea na wasela wake kila siku yani imeniachia crack kwenye mbavu hiyo picha..!
ya sita hiyo ni picha duka
ya saba hiyo inawezekana kabisa kwenye ndege mbovu hasa ndege ndogo zikiwa zinaingizwa workshop
ya nane pia ni picha duka... katika ile speed hakuna ambae anaweza kukaa juu na akatulia vile hakuna kabisaaa
nimemaliza ninaondoka kwaheriiiiiiiiii:A S embarassed:
dah hawa jamaa ni nnoma hebu imagine ingekua wewe ungekimbilia wapi hapo na kitu cha jeshi kinakuja mpera mpera namna hiyo..!
na huyu mjamaa na vespa yake hapa ni lazima alijamba alipofika chini immediately the first thing was fart
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.