Mnasemaje kuhusu hizi picha?

Herbalist Dr MziziMkavu

JF-Expert Member
Feb 3, 2009
42,316
33,125
375291_332905136732755_100000398151374_1017338_1984399378_n.jpg 383005_331803726842896_100000398151374_1014906_573585844_n.jpg 384846_329563057066963_100000398151374_1009521_1251164101_n.jpg 393462_335086543181281_100000398151374_1023535_378314519_n.jpg 400247_330283990328203_100000398151374_1011280_507681273_n.jpg 404428_332628313427104_100000398151374_1016638_2104565720_n.jpg 406612_330486250307977_100000398151374_1012025_87499466_n.jpg 407227_333283670028235_100000398151374_1017859_650774317_n.jpg

Picha ipi iliyokuvutia?
 

ya kwanza ni uzembe wa dereva.. wewe huwezi kuingiza gari imejaa mzigo hivyo kwenye tope kama hilo kabla hujaangalia njia yenyewe

ya pili huyo dingi akili zimemruka huko kwenye kichwa yani ni hakuna kitu au kaambiwa afanye hivyo na sangoma wa mbele huko.. wakati huku bongo tunaambiwa tufanye hivyo nite kali na masangoma wetu japo kua ni upumbafu mtupu pia...!

ya tatu yaani huyo dogo anaonekana ni shujaa kinoma ila ataumwa mda sio mrefu hapo na ninaomba nijue kua anaendeleaje hospitalini coz najua atakua amelazwa

ya nne ni masikitiko ya miundo mbinu ya nchi hii yaani hapa ninaumia kinyama ila ninaamini magufuli anaona hili pia coz hapa jf anapatikana..

ya tano ndio imeniacha hoi kweli kweli,, huyo jamaa anajua kuandika na anajua kuwasilisha mawazo yake kama jinsi anavyoongea na wasela wake kila siku yani imeniachia crack kwenye mbavu hiyo picha..!

ya sita hiyo ni picha duka

ya saba hiyo inawezekana kabisa kwenye ndege mbovu hasa ndege ndogo zikiwa zinaingizwa workshop

ya nane pia ni picha duka... katika ile speed hakuna ambae anaweza kukaa juu na akatulia vile hakuna kabisaaa

nimemaliza ninaondoka kwaheriiiiiiiiii:A S embarassed:
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom