sio vyote vinarudishika jmn na mnapo achane sio lazima muwe maadui ni vizuri kubaki navyo maana vitakukumbusha kuwa once in a lyf tym ulikuwa na mtu fulani
Nadhani wadau tumeliongele hili swala kwa level ya chini sana vitu kama simu, chu**, nguo, picha, havina haja kurudishiana ila magari, nyumba, miradi, shamba, duka siwezi mwachia huyo mwanamke kwani wengi wetu wanaume tunaojitoa mara nyingi tunaibiwa na kudhulumiwa. But ni vyema ukaweka wazi kuwa in case of separation ni vitu gani virudishwe.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.