Mnapomwaga damu za ndugu zetu leo,ifikirieni kesho yenu

The Hunter

JF-Expert Member
Dec 25, 2010
1,049
305
Dhuluma na ubaya huzunguka, na mwisho hujikuta unawafikia hata wale wasiotarajiwa na hapo ndipo haki huonekana ni lazima
Alipouliwa yule mtendaji wa kata kule Arusha serikali ilipiga kimya as if ni kamnyama flani hakana haki...
Walipouwawa wafuasi wa CDM kule Igunga serikali hii hii ilipiga kimya na mpaka leo haijasema lolote..
Alipojeruhiwa yule kada wa CDM kule Arusha akaokotwa siku ya pili akiwa hajitambui mtaroni still serikali haijasema cha uchunguzi wala nini...

Leo tunavyoshuhudia vifo vya raia wenzetu, walipa kodi, wenye uchungu na nchi yao wakiuwawa na polisi ama weusi wenzetu inatia hamasa,....Lakini tukumbuke yenye mwanzo huwa na mwisho,.. kesho watauliwa watoto ama jamaa zao najua hapo ndipo watakapohisi uchungu kama tunaouhisi sisi... polisi hana mamlaka ya kumuua yeyote yule hata kama ni mwenye makosa kiasi gani, polisi si hakimu wala hajasomea sheria inayompa uhalali wa kuhukumu na kuua raia walio katika nchi yao.

Leo sisi tunakubali kulia.. kesho nyie mtalia mara mbili yetu maana kama jamii kandamizwa tutazoea,tutachoka na tutaamua kulipa kisasi maana mnapoishi tunapajua, ndugu zenu na watoto wenu tunawajua na kupishana nao kila wakati

Kuweni na moyo wa huruma kwa hawa mnaowaua leo kwa dhuluma..
 
Dhuluma na ubaya huzunguka, na mwisho hujikuta unawafikia hata wale wasiotarajiwa na hapo ndipo haki huonekana ni lazima
Alipouliwa yule mtendaji wa kata kule Arusha serikali ilipiga kimya as if ni kamnyama flani hakana haki...
Walipouwawa wafuasi wa CDM kule Igunga serikali hii hii ilipiga kimya na mpaka leo haijasema lolote..
Alipojeruhiwa yule kada wa CDM kule Arusha akaokotwa siku ya pili akiwa hajitambui mtaroni still serikali haijasema cha uchunguzi wala nini...

Leo tunavyoshuhudia vifo vya raia wenzetu, walipa kodi, wenye uchungu na nchi yao wakiuwawa na polisi ama weusi wenzetu inatia hamasa,....Lakini tukumbuke yenye mwanzo huwa na mwisho,.. kesho watauliwa watoto ama jamaa zao najua hapo ndipo watakapohisi uchungu kama tunaouhisi sisi... polisi hana mamlaka ya kumuua yeyote yule hata kama ni mwenye makosa kiasi gani, polisi si hakimu wala hajasomea sheria inayompa uhalali wa kuhukumu na kuua raia walio katika nchi yao.

Leo sisi tunakubali kulia.. kesho nyie mtalia mara mbili yetu maana kama jamii kandamizwa tutazoea,tutachoka na tutaamua kulipa kisasi maana mnapoishi tunapajua, ndugu zenu na watoto wenu tunawajua na kupishana nao kila wakati

Kuweni na moyo wa huruma kwa hawa mnaowaua leo kwa dhuluma..

Well said!
 
Dhuluma na ubaya huzunguka, na mwisho hujikuta unawafikia hata wale wasiotarajiwa na hapo ndipo haki huonekana ni lazima
Alipouliwa yule mtendaji wa kata kule Arusha serikali ilipiga kimya as if ni kamnyama flani hakana haki...
Walipouwawa wafuasi wa CDM kule Igunga serikali hii hii ilipiga kimya na mpaka leo haijasema lolote..
Alipojeruhiwa yule kada wa CDM kule Arusha akaokotwa siku ya pili akiwa hajitambui mtaroni still serikali haijasema cha uchunguzi wala nini...

Leo tunavyoshuhudia vifo vya raia wenzetu, walipa kodi, wenye uchungu na nchi yao wakiuwawa na polisi ama weusi wenzetu inatia hamasa,....Lakini tukumbuke yenye mwanzo huwa na mwisho,.. kesho watauliwa watoto ama jamaa zao najua hapo ndipo watakapohisi uchungu kama tunaouhisi sisi... polisi hana mamlaka ya kumuua yeyote yule hata kama ni mwenye makosa kiasi gani, polisi si hakimu wala hajasomea sheria inayompa uhalali wa kuhukumu na kuua raia walio katika nchi yao.

Leo sisi tunakubali kulia.. kesho nyie mtalia mara mbili yetu maana kama jamii kandamizwa tutazoea,tutachoka na tutaamua kulipa kisasi maana mnapoishi tunapajua, ndugu zenu na watoto wenu tunawajua na kupishana nao kila wakati

Kuweni na moyo wa huruma kwa hawa mnaowaua leo kwa dhuluma..

ndo maana mi nasema hili li serikali la ccm jamani hili!!!!!!!!!!!!!!!!!!aaaaaaaaarrrrrrrrrggggggggghhhhhhhhh!!!!!!!!!!!!


Tuendeleeni kuwaelimisha watanzania, waelimike ili waliondoe madarakani hili li serikali la ccm magamba/mafisadi/majambazi/wauaji.
 
Dhuluma na ubaya huzunguka, na mwisho hujikuta unawafikia hata wale wasiotarajiwa na hapo ndipo haki huonekana ni lazima
Alipouliwa yule mtendaji wa kata kule Arusha serikali ilipiga kimya as if ni kamnyama flani hakana haki...
Walipouwawa wafuasi wa CDM kule Igunga serikali hii hii ilipiga kimya na mpaka leo haijasema lolote..
Alipojeruhiwa yule kada wa CDM kule Arusha akaokotwa siku ya pili akiwa hajitambui mtaroni still serikali haijasema cha uchunguzi wala nini...

Leo tunavyoshuhudia vifo vya raia wenzetu, walipa kodi, wenye uchungu na nchi yao wakiuwawa na polisi ama weusi wenzetu inatia hamasa,....Lakini tukumbuke yenye mwanzo huwa na mwisho,.. kesho watauliwa watoto ama jamaa zao najua hapo ndipo watakapohisi uchungu kama tunaouhisi sisi... polisi hana mamlaka ya kumuua yeyote yule hata kama ni mwenye makosa kiasi gani, polisi si hakimu wala hajasomea sheria inayompa uhalali wa kuhukumu na kuua raia walio katika nchi yao.

Leo sisi tunakubali kulia.. kesho nyie mtalia mara mbili yetu maana kama jamii kandamizwa tutazoea,tutachoka na tutaamua kulipa kisasi maana mnapoishi tunapajua, ndugu zenu na watoto wenu tunawajua na kupishana nao kila wakati

Kuweni na moyo wa huruma kwa hawa mnaowaua leo kwa dhuluma..

ndo maana mi nasema hili li serikali la ccm jamani hili!!!!!!!!!!!!!!!!!!aaaaaaaaarrrrrrrrrggggggggghhhhhhhhh!!!!!!!!!!!!


Tuendeleeni kuwaelimisha watanzania, waelimike ili tuliondoe madarakani hili li serikali la ccm magamba/mafisadi/majambazi/wauaji.
 
hayo ni mawazo yako na si mawazo ya watanzania zaidi ya milioni 40 na mawazo hayo hayana mashiko...wewe hujasomea upolisi hiyo ni kazi yao waacheeee.katika kazi za kudhibiti uhalifu lolote linaweza kutokea ikwa nipamoja na kifo si lengo la polisi na hawapendi vitu hivyo vitokee.walitumia reasonable force vinginevyo maafa makubwa yangetokea.Mmelishwa Chuki dhidi ya Polisi ili kuwarahisishia njia wenzenu ambao watawatelekeza jangwani.siku zote Polisi hawezi kupendwa na watu wote pia hawezi kuwafurahisha watu wote mpo mnao zuiwa kufanya uhalifu mnawachukia polisi hakuna namna ni lazima mshughulikiwe kwa mujibu wa sheria mlizo zitunga wenyewe.


Leo tunavyoshuhudia vifo vya raia wenzetu, walipa kodi, wenye uchungu na nchi yao wakiuwawa na polisi ama weusi wenzetu inatia hamasa,....Lakini tukumbuke yenye mwanzo huwa na mwisho,.. kesho watauliwa watoto ama jamaa zao najua hapo ndipo watakapohisi uchungu kama tunaouhisi sisi... polisi hana mamlaka ya kumuua yeyote yule hata kama ni mwenye makosa kiasi gani, polisi si hakimu wala hajasomea sheria inayompa uhalali wa kuhukumu na kuua raia walio katika nchi yao.

Leo sisi tunakubali kulia.. kesho nyie mtalia mara mbili yetu maana kama jamii kandamizwa tutazoea,tutachoka na tutaamua kulipa kisasi maana mnapoishi tunapajua, ndugu zenu na watoto wenu tunawajua na kupishana nao kila wakati

Kuweni na moyo wa huruma kwa hawa mnaowaua leo kwa dhuluma..[/QUOTE]
 
hayo ni mawazo yako na si mawazo ya watanzania zaidi ya milioni 40 na mawazo hayo hayana mashiko...wewe hujasomea upolisi hiyo ni kazi yao waacheeee.katika kazi za kudhibiti uhalifu lolote linaweza kutokea ikwa nipamoja na kifo si lengo la polisi na hawapendi vitu hivyo vitokee.walitumia reasonable force vinginevyo maafa makubwa yangetokea.Mmelishwa Chuki dhidi ya Polisi ili kuwarahisishia njia wenzenu ambao watawatelekeza jangwani.siku zote Polisi hawezi kupendwa na watu wote pia hawezi kuwafurahisha watu wote mpo mnao zuiwa kufanya uhalifu mnawachukia polisi hakuna namna ni lazima mshughulikiwe kwa mujibu wa sheria mlizo zitunga wenyewe.


Leo tunavyoshuhudia vifo vya raia wenzetu, walipa kodi, wenye uchungu na nchi yao wakiuwawa na polisi ama weusi wenzetu inatia hamasa,....Lakini tukumbuke yenye mwanzo huwa na mwisho,.. kesho watauliwa watoto ama jamaa zao najua hapo ndipo watakapohisi uchungu kama tunaouhisi sisi... polisi hana mamlaka ya kumuua yeyote yule hata kama ni mwenye makosa kiasi gani, polisi si hakimu wala hajasomea sheria inayompa uhalali wa kuhukumu na kuua raia walio katika nchi yao.

Leo sisi tunakubali kulia.. kesho nyie mtalia mara mbili yetu maana kama jamii kandamizwa tutazoea,tutachoka na tutaamua kulipa kisasi maana mnapoishi tunapajua, ndugu zenu na watoto wenu tunawajua na kupishana nao kila wakati

Kuweni na moyo wa huruma kwa hawa mnaowaua leo kwa dhuluma..
[/QUOTE]

Huyu kijana wa Morogoro alikuwa anajisomea magazeti. Ameuawa kama kuku bila kosa lolote lile. Wako watu wengi sana wenye story kama hizi. Kumbuka wale wafanyabiashara wa Ulanaga. Kumbuka Munishi wa Bomang'ombe. Kumbuka Dr. Ulimboka. Usimtetee shetani kwani ipo siku atakufikia hata wewe. Kilio cha watu hawa ni kikubwa. Kumbuka wazazi wao na ndugu zao. Acha ujinga hawa polisi wanageuka kuwa wauwaji na sii walinzi wa raia na mali zao. Ukweli ni kuwa watanzania wanamlilia Mungu na ipo siku kilio chao kitamfikia masikioni pake.
Kuisingizia CDM ni kujisingizia wewe mwenyewe. Hata watoto wa Primary school walilalamika na kuandamana kudai haki zao. Hii ni serikali ya wapi ambayo hata mtoto anaiona haifai? Kama tungalikuwa na serikali ingalikemea haya madudu. Ni kwa nini inasema uwongo kana kwamba watu hawaoni kama inahusika?
Kama hawa polisi wamesoma, wanatudhirishia kila siku kuwa hawakusomea maadili ya kazi yao. They have no idea what they are supporse to do in terms of ethics. They are the most corrupt people in the whole nation. Tunaamini CDM italifumua hili jeshi insideout na kuunda jeshi lenye polisi wachache wanaoheshimu utu wao na wa watu wengine. Tumechoka sana na umwagaji damu huu wa ndugu zetu wasio na hatia. Tumechoshwa pia sana na serikali hii iliyojaa usanii mtupu!!!!!
 
Back
Top Bottom