The Hunter
JF-Expert Member
- Dec 25, 2010
- 1,049
- 305
Dhuluma na ubaya huzunguka, na mwisho hujikuta unawafikia hata wale wasiotarajiwa na hapo ndipo haki huonekana ni lazima
Alipouliwa yule mtendaji wa kata kule Arusha serikali ilipiga kimya as if ni kamnyama flani hakana haki...
Walipouwawa wafuasi wa CDM kule Igunga serikali hii hii ilipiga kimya na mpaka leo haijasema lolote..
Alipojeruhiwa yule kada wa CDM kule Arusha akaokotwa siku ya pili akiwa hajitambui mtaroni still serikali haijasema cha uchunguzi wala nini...
Leo tunavyoshuhudia vifo vya raia wenzetu, walipa kodi, wenye uchungu na nchi yao wakiuwawa na polisi ama weusi wenzetu inatia hamasa,....Lakini tukumbuke yenye mwanzo huwa na mwisho,.. kesho watauliwa watoto ama jamaa zao najua hapo ndipo watakapohisi uchungu kama tunaouhisi sisi... polisi hana mamlaka ya kumuua yeyote yule hata kama ni mwenye makosa kiasi gani, polisi si hakimu wala hajasomea sheria inayompa uhalali wa kuhukumu na kuua raia walio katika nchi yao.
Leo sisi tunakubali kulia.. kesho nyie mtalia mara mbili yetu maana kama jamii kandamizwa tutazoea,tutachoka na tutaamua kulipa kisasi maana mnapoishi tunapajua, ndugu zenu na watoto wenu tunawajua na kupishana nao kila wakati
Kuweni na moyo wa huruma kwa hawa mnaowaua leo kwa dhuluma..
Alipouliwa yule mtendaji wa kata kule Arusha serikali ilipiga kimya as if ni kamnyama flani hakana haki...
Walipouwawa wafuasi wa CDM kule Igunga serikali hii hii ilipiga kimya na mpaka leo haijasema lolote..
Alipojeruhiwa yule kada wa CDM kule Arusha akaokotwa siku ya pili akiwa hajitambui mtaroni still serikali haijasema cha uchunguzi wala nini...
Leo tunavyoshuhudia vifo vya raia wenzetu, walipa kodi, wenye uchungu na nchi yao wakiuwawa na polisi ama weusi wenzetu inatia hamasa,....Lakini tukumbuke yenye mwanzo huwa na mwisho,.. kesho watauliwa watoto ama jamaa zao najua hapo ndipo watakapohisi uchungu kama tunaouhisi sisi... polisi hana mamlaka ya kumuua yeyote yule hata kama ni mwenye makosa kiasi gani, polisi si hakimu wala hajasomea sheria inayompa uhalali wa kuhukumu na kuua raia walio katika nchi yao.
Leo sisi tunakubali kulia.. kesho nyie mtalia mara mbili yetu maana kama jamii kandamizwa tutazoea,tutachoka na tutaamua kulipa kisasi maana mnapoishi tunapajua, ndugu zenu na watoto wenu tunawajua na kupishana nao kila wakati
Kuweni na moyo wa huruma kwa hawa mnaowaua leo kwa dhuluma..