jirani na Dr mohamed ni tank la maji na Lenana Resort,mkuu vipi viroba vimepanda nini?Ipo bana........ hapo karibu na Tenki la maji Mianzini jirani kabisa na kwa Dr. Mohamed.................
nitapitia mida ya saa 3 nakuja kupata mtura na spaisi!Ni hapo hapo bana.............. ukivuka barabara tu umefika..........
yaani hii bar ina kigezo kimoja tu cha kuajiri muhudumu:unatakiwa kuwa na 'Masaburi makubwa'mi sipajui hapo wap? matejo au?
mbona unakuja arusha kimya kimya?wanajamvi wa arusha wanajuana mkuu
yaani hii bar ina kigezo kimoja tu cha kuajiri muhudumu:unatakiwa kuwa na 'Masaburi makubwa'
kwa wewe mtoto sikushauri uitembelee kabisa!
mbona unakuja arusha kimya kimya?wanajamvi wa arusha wanajuana mkuu
bize na masaburi nini???najua pale ikifika saa sita sita wahudumu huadimika ghafla sijui kuna nini pale?Nilikuwa Bize sana na sikupata muda wa kuingia Net na Black Berry huko zinasumbua........Net haikamati kabisaa.
Pale stand ipo Cafe moja lakini nayo kimeo tu.........