Shine
JF-Expert Member
- Feb 5, 2011
- 11,481
- 1,364
Mnaotumia barabara ya mandela road toka buguruni sheli hadi njia panda ya Tabata jaribuni kutumia njia mbadala kwani njia ina foleni ambalo halitembei. ni kwamba daraja la matumbi lilibomoka upande mmoja kwahiyo magari yanatumia njia moja kwa pale darajani na kuna malori yameharibikia hapo na kuna magari yame force njia yamekuna uso kwa uso kwahiyo hayatembei na kurudi nyuma haiwezekani mpaka hayo malori yakamilike.
nawakilisha
nawakilisha