moto wa maji
JF-Expert Member
- Mar 25, 2016
- 4,080
- 2,884
- Thread starter
- #41
tuliza mapengo hayohayaaaa moto wa punyeto
tuliza mapengo hayohayaaaa moto wa punyeto
utakavyokuja tena jaribu usome tena humu tunazungumzia niniKu report wapi
835skia sio kila taarifa ya jkt utakayopata humu lazma iwekewe source, ukwel ni kwamba kunza maji mengi moyo uelee, kwanza unaenda kj Namb ngap?
kwahyo jkt umepitia?Hakuna kazi niliyo itamani na kuipenda kama kua mjeda.... jeshi la wananchi tz.
Unauliza au unatujuza?, hebu pitia upya ulichoandika kisha jiulize watu waelewe nini. Elezea vizuri watu gani na wanapigiwa simu na nani na wameanza wapi ili iweje ndio tuelewe kama umeuliza swali au unatupa taarifaWatu wameanza pigiwa simu
nenda kajipange mkuuWatu wameanza pigiwa simu
ni kampuni ya ulinzi inayochukua vijana jkt haswa wale wanaokua wanaachwa lakn c kwa sabb ya magonjwa ila elimu mfano darasa 7Jamani samahanini nipo nje ya mada,
Nauliza hawa SUMA JKT ni kina nani?
Na wanadili hasa na nini?
Maana naona walinzi wamevaa nguo zimeandikwa suma jkt guard, sasa nashindwa kuelewa kabisa.
SUMA maana yake niJamani samahanini nipo nje ya mada,
Nauliza hawa SUMA JKT ni kina nani?
Na wanadili hasa na nini?
Maana naona walinzi wamevaa nguo zimeandikwa suma jkt guard, sasa nashindwa kuelewa kabisa.
tupe source kk acha siasa
kwani siasa hazina source, ? kama una mawasiliano na mzanzbar yeyote muulzetupe source kk acha siasa
Yote sawa,ila watasubiri sanaMwakani