KweliKwanza
JF-Expert Member
- Aug 20, 2016
- 3,500
- 2,781
- Thread starter
- #101
nlikuwa na jamaa angu I see huwa nikipita hapo kila mara nakumbuka hasira zangu zinarenew
nlikuwa na jamaa angu I see huwa nikipita hapo kila mara nakumbuka hasira zangu zinarenew
Kwani kuuza si ndio kujiondoa kwenyewe? Kwani ulitegemea wajiondoeje?hawajajipndoa Bali bp iliuzwa kwa puma energy! usitoe taarifa za uongo kama hauna data
Nadhani oilcom wanaongoza kwa michezo hii,chunga sana oilcom temeke kwa azizi ali na oilcom temeke pile.Kinara wa wizi wa mafuta Tanzania ni OilCom ya barabara ya Kawe karibu na Rainbow
Mkubwa DAWA ni kujaza full tank yana mwagika unasoma mita kiasi gani unadaiwa unalipa.Na unachotakiwa kufanya ni kutafuta mtaji wa full tank first time, baada yahapo usisubirie hadi yaishe unakuwa unajaza kila unapo enda safari hutaibiwa Na Sheri yeyoteHii imeshanitokea mara mbili hapo Dodoma.. Mara ya kwanza nilikuwa natoka Mwanza kwenda Dar.. Kufika Dodoma nikajaziwa upepo.. Nilifika kwa shida sana Morogoro maana ilibidi nibanie mafuta na ilikuwa usiku.. Mara ya pili nilikuwa naenda Singida na nikajaziwa upepo Dodoma.. Mpaka nafika Singida saa saba ya usiku taa ya mafuta ilikuwa inawaka...
pale ni balaaa.....nishawahi kuweka mafuta ya buk 20 kufika biafra kino taa nyekundu ikawaka na siku hyo hakukuwa hata folen barabaranBP sinza ni hatari. Especially ukiweka mafuta mda wa usiku.Chukueni tahadhari
mi walinambia geji yangu ni mbovuAisee sinza kijiweni kituo cha Puma yaani ni waizi sana nimejaza mafuta ya 30 elfu kwenye harrier yangu bado taa ya kuonesha mafuta hamna inawaka yaani nilibishana nao sana wakaniambia harrier inatank kubwa niliondoka ila roho iliniuma sana kesho yake nikaenda mlimani city sheli iliyoko kwenye kona pale sijui inaitwaje nikaweka ya 20 elfu tu mshale wa mafuta ukaenda zaidi ya robo tank. Ndipo nikaamini kituo cha puma sinza kijiweni ni waizi
Mm huwa namuita muosha gari tunapiga picha gauge ya mafuta na km, afu namuachia funguo nikirudi tunalinganisha na picha ndo namlipa.BP Chuga ni shidaaa pia msisahau mkienda kuosha magari kodoeni macho kodo wanavuta petrol kwa mirija
Ukishaona kituo cha mafuta wanakataa kidumu, ujue mashine zao zimesetiwa kuibaMie kwakweli niko na sheli yangu maalum hapa uraian ndio naweka mafuta, karbia wafanyakaz wengi nmekuwa nao na wengine ni kaka zangu kabsa, ile mie bado dogo naoiga boli wananiona, napyenga kamas kwa stail ya nike wananiona so ndio ninao waamin zaid.. Kujaza sheli tofaut itokee bahat mbay tuu.. Wiz huu upo kuna sheli walikuwa hawatak kabsa kupima wese kwenye kidumu
Pale mlimani city wapo vizuri sana. Sijajua kwa apa Kimara Baruti(Dar es salaam Tanzania). Wao Awapigi upepo kweliAisee sinza kijiweni kituo cha Puma yaani ni waizi sana nimejaza mafuta ya 30 elfu kwenye harrier yangu bado taa ya kuonesha mafuta hamna inawaka yaani nilibishana nao sana wakaniambia harrier inatank kubwa niliondoka ila roho iliniuma sana kesho yake nikaenda mlimani city sheli iliyoko kwenye kona pale sijui inaitwaje nikaweka ya 20 elfu tu mshale wa mafuta ukaenda zaidi ya robo tank. Ndipo nikaamini kituo cha puma sinza kijiweni ni waizi