mchambuzixx
JF-Expert Member
- Nov 11, 2011
- 1,292
- 943
hapa ndo kazi zitafanyika vizuri na kwa wale wa dsm na foleni hizi wa2 tutakuwa tunarudi majumbani saa3 ili kukwepa foleni
View attachment 46187
Hata mashuleni pia itasaidia sana hasa ktk lugha hii ngeni!lol
hapa ndo kazi zitafanyika vizuri na kwa wale wa dsm na foleni hizi wa2 tutakuwa tunarudi majumbani saa3 ili kukwepa foleni
View attachment 46187
Hata mashuleni pia itasaidia sana hasa ktk lugha hii ngeni!lol
naunga mkono hoja!!!hapa ndo kazi zitafanyika vizuri na kwa wale wa dsm na foleni hizi wa2 tutakuwa tunarudi majumbani saa3 ili kukwepa foleni View attachment 46187
Siungi mkono hata kidogo. Mungu Baba nakuomba utupe nguvu za kuyashinda haya majaribu yanayotolewa hapa jamvini kama hili la sasa, utusaidie hata tukiona picha tu ya hiyo chupa tupate kichefuchefu na maoni yote yawe kwa ajili ya utukufu wako, Ameni
hii inaonyesha kuwa nchi hii ni ya walevi