Mrimi
JF-Expert Member
- Jul 18, 2011
- 1,691
- 633
Niliposoma habari hii nimesononeshwa sana. Siamini kama sheria ya mabadiliko ya katiba kiini chake sio maslahi kwa wananchi bali ni maslahi kwa chama tawala. Kwamba sheria hii ni kukiwezesha chama tawala kubaki madarakani na kuzuia uwezekano wa vyama vingine kushika madaraka. These people can't be serious. Mimi naona hapa tunachezewa akili zetu.