Adrian Stepp
JF-Expert Member
- Jul 1, 2011
- 2,764
- 2,581
Tusameheane mkuu
One love!
Tusameheane mkuu
ni kijana aliekuwa na akili nzuri mpaka mwanzoni mwa mwaka 1995 alipokuwa anamaliza form four lakini pale alipovuta bangi siku ya graduation ndipo akili yake ilipokaa tenge na kuwa mbovu hadi leo!
Kha! mume tena? mi bado sijahitaji mume bwana. Alafu wewe si umeoa?Mbona ulini-PM ukinihitaji niwe mumeo?
Mwita25, binafsi huwa nasoma mabandiko na michango yako humu jamvini na naiheshimu kabisa. Sioni tatizo lolote ingawa mara nyingine nashindwa kukuelewa uko upande gani.
Mara nyingine unaonekana kuwaunga mkono CCM unreasonably, lakini pia mara nyingine unawapinga CCM unreasonably pia. Hapo tu ndo unaniachaga hoi.
Hata hivyo, uko tofauti sana na Ritz na Rejao, wao wanaunga mkono na kutetea kila kitu cha Magamba (FF anaonekana kuepuka hayo, siku hizi).
mtu asiyeeleweka.
Dah..wewe utafanya nipigwe bun maisha bora nikae kimya kama Jay-mo,kwanza nasikia ww USARAMA?Hii thread isipopata wachangiaji naapa kujitoa JF na wala hamtaniona tena.
Tusameheane mkuu