mwaJ
JF-Expert Member
- Sep 27, 2007
- 4,074
- 2,947
Wengi wenu mnao msema Nakaaya mna dada au shemeji zenu wako hivi ni kwa sababu tu mmeficha ID zenu tungeona mengi!!!
Ni kweli kabisa. People are so mean!
Wengi wenu mnao msema Nakaaya mna dada au shemeji zenu wako hivi ni kwa sababu tu mmeficha ID zenu tungeona mengi!!!
Magamba matumizi yao ni rafu sana,hasa Mwiguru yule jamaa ni mtumiaji rafu sana,ndio maana mdada wa watu amechoka sana.
Ama kwa hakika shepu ya kipindi kileeeeee,haipo tena. Amekuwa kama dudu flani vile.
Anajutia kuhama chama kubwa. Lakini si neno atarudi muda si mrefu ujao.
shapeless
uteja sio lelemama
Shepu ya Kimeru imerudi mahali yake !
Msechu ilo pochhi lake kazi ya mabia ya kila siku,kulakula hovyo..bila ratiba...mared meat yenye mafuta!!!aaaauchhh! Mtumbo kama furushi la nguo za mtumba wa kiboroloni!!
Na alivo mfupi... Yan af ukiwa ivo ile ndude inakuwa ivo ivo aki-move kiuno kushoti kulia mara mbili kesho ake lazima akamwone daktari wa viungo!! Namuona mwepesi so im sure anakulakula sana na hovyo af mivyakula yakuongeza uzito kwa wingi.
Hahaaa swts Msechu akikusikia utaipata habari yake ingawa uliyoyasema ni ya kweli
Wote wakiamua watakuwa size tu.