Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,475
- 39,988
Sijui ndio lilikuwa jina lake au mimi nimechanganya; alikuwa kichaa pale soko la Songea. Alikuwa na sifa moja ambayo wachache wanaikumbuka. Nimeiona picha fulani nikamkumbuka. Hivi bado yupo hai?