Inashangaza kuona mkulu amerilax sana kuhusu Mwakyembe.
Watanzania wameona jinsi viongozi wakuu waandamizi wanavyotofautiana lugha hasa DCI, Waziri wa mambo ya ndani, Waziri wa afya na hata Mzee Sitta kuhusu ugonjwa wa Mwakyembe; cha ajabu naona mkulu umekaa mbali hata hutaki kutoa maoni yako au hutaki kuwasimamia watu wako wasiwachanganye wananchi.
Lakini hakika nakwambia JK, kama huyu mpiganaji atapoteza maisha bila ya uwazi nchi itayumba na wewe utahusishwa na tatizo hili kama EL alivyowaambia wajumbe wa NEC kuwa wizi wa Richimond ulikuwa unajua?
Watanzania wameona jinsi viongozi wakuu waandamizi wanavyotofautiana lugha hasa DCI, Waziri wa mambo ya ndani, Waziri wa afya na hata Mzee Sitta kuhusu ugonjwa wa Mwakyembe; cha ajabu naona mkulu umekaa mbali hata hutaki kutoa maoni yako au hutaki kuwasimamia watu wako wasiwachanganye wananchi.
Lakini hakika nakwambia JK, kama huyu mpiganaji atapoteza maisha bila ya uwazi nchi itayumba na wewe utahusishwa na tatizo hili kama EL alivyowaambia wajumbe wa NEC kuwa wizi wa Richimond ulikuwa unajua?