Kifo cha Mkemia ni cha kawaida kabisa hakuna wa kumshika mchawi,Mungu amepanda ..Mungu ametwaa
Lazima kionekane kifo cha kawaida hasa ukizingatia kuwa atakayefanya uchunguzi wa maiti hiyo naye kuna mambo mawili yatamkabili ambayo kifo au kupewa hela kauhidiwa cheo wakati wowote kuna sababu gani ya kusema Mashimba aliwekewa sumu zaidi ya kusema kafa kifo cha kawaida ndiyo maana mtu hata akiwa mchapa kazi na mzalendo kiasi gani ataishia kuuawa au kuumizwa nafsi na kunyasisika kusiko na kiwango