magaka Makoye
Member
- Sep 11, 2011
- 5
- 2
Wana JF nadhani mtakumbuka sana bomoabomoa ya miaka ya 1996 na kuendelea. Nakumbuka ilileta kizaazaa kweli mpaka ikageuzwa ni agenda ya kisiasa. Sasa naomba mnifahamishe kwa kuchangia. Je kuna faida yoyote iliyoonekana baada ya bomoabomoa hiyo. Maana kipindi hicho ilikuwa inaonekana ni uonevu na hakukuwa na tija yoyote. Nawakilisha wakuu.