Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 92,225
- 113,566
Daaah...enzi hizo ilikuwa ukiwa na BMX basi mwenyewe unatamba kweli. Mimi nilikuwa wa kwanza kuwa na BMX mtaani..pengine hata bongo nzima. Halafu ilikuwa haina breki za kawaida...breki zake ilikuwa kurudisha pedals nyuma....nilitesa sana enzi hizo....