KikulachoChako
JF-Expert Member
- Jul 21, 2013
- 18,126
- 32,808
Hapo wamejumlisha na chajuu a.k.a 10%
Jamani hii ni sawa kweli?
Yaani kutoka 30m mpaka 60 billion ni parefu, hata kama wali underestimate mwanzoni, bado hiyo figure mpya ni too much.
That is 30 billion per school.Shule gani ishawai jengwa kwa kiasi hicho? Hata the best private schools in Tz zenye kila aina ya amenities hazikujengwa kwa bei hiyo.
================================
Bukoba. Serikali imesema gharama za kujenga upya wa shule za sekondari za Ihungo na Nyakato ni Sh 60 bilioni hadi kukamilika kwa miundombinu yake ambayo itakayoruhusu wanafunzi kupata elimu kama kawaida.
Hayo yamesemwa na Mkuu wa Mkoa wa Kagera Meja Jenerali Mstaafu Salum Kijuu leo mjini Bukoba alipokuwa akitoa taarifa kwa waandishi wa habari kuhusu hatua zilizochukuliwa na Serikali katika kukabiliana na athari zilizosababishwa na tetemeko la ardhi lililoukumba mkoa huo.
I saw this coming the rest still loading.................
Katika kukamilisha ujenzi wa shule hizo, mkuu wa mkoa amesema kuwa hatua ya kuvunja wa majengo yote imeshaanza ambapo tayari Kampuni ya CHICO ya Wachina inaendelea na uvunjaji wa majengo yote ili kazi ya ujenzi uanze.
“Wataalam wote wa ujenzi kutoka idara mbalimbali za Serikali wanaendelea na uchambuzi yakinifu wa majengo mapya ya shule hizo utakaozingatia viwango vya ujenzi ambapo gharama za awali kwa tathmini iliyotolewa na wataalamu hao ni Sh 30 milioni kwa shule za Ihungo na Nyakato,” alisema Kijuu.
Uamuzi wa kuzijenga shule hizo upya zilizoharibiwa na tetemeko la ardhi, ulipelekea Serikali kuzifunga na kuwahamisha wanafunzi waliokuwa wanasomea katika shule za Sekondari Ihungo na Nyakato ili waweze kuendelea na masomo wakati shule zao zinajengwa upya.
Chanzo: Mwananchi
Omba tu majengo yawe na thamani ya pesa tajwa,usijali wingi wa pesa,shule ni miundombinu kamandaBasi kufa kufaana huku basi wamezidishaaaa
Ila ngoja tuone mwisho wake
Ova
Hahahaha nimekusomaOmba tu majengo yawe na thamani ya pesa tajwa,usijali wingi wa pesa,shule ni miundombinu kamanda
Kiwanda ndiyo cha kuzalisha watalaam for 200 yrs!kiwanda hicho
Wahaya bhana wanapenda sifa...60 billion poleni sana kina nshomileJumla ya majengo 20 yenye ghorofa nne kila moja pale Chuo Kikuu cha Dar es Salaam na yatakapokamilika tarehe 31 Desemba, 2016 yatakuwa na uwezo wa kuchukua wanachuo 3,840
Haya yalielezwa na Mtendaji mkuu wa TBA ndugu Elias Mwakalinga kua TBA ikitumia wataalamu na Vijana wa Kitanzania itatumia Shilingi Bilioni 10 kukamilisha ujenzi huo.
Sasa iweje hapa kwa ujenzi wa shule hizi 2 zigharimu 60 Bilion..
Mzee, kwa billioni 6 sawa. Lakini bilioni 60,hapana. Hayo ni matusi ya nguoni na kuudhalilisha umma.Omba tu majengo yawe na thamani ya pesa tajwa,usijali wingi wa pesa,shule ni miundombinu kamanda
Ukabila tena!!!?Wahaya bhana wanapenda sifa...60 billion poleni sana kina nshomile