Nawauliza wanaojuwa sheria hivi haiwezekani huyu mnajimu Yahaya maana siwezi muita shehe ni kuwadhalilisha mashehe kwa raia wa kawaida akaenda mahakamani na kuomba azuiwe kisheria kutotoa matamshi yenye utata kila kukicha mara majini,mara vifo katika muda huu wa kuelekea uchaguzi? na pia katika ombi hilo magazeti na TV kuzuiwa kumnukuu?