Crashwise
JF-Expert Member
- Oct 23, 2007
- 22,227
- 8,735
Wana cdm hawako hivyo. Ninawasiwasi na jina lako!
mkuu achana nae kesho tupeleke ujumbe kwa kikwete..
Wana cdm hawako hivyo. Ninawasiwasi na jina lako!
Walikuwa wanawahi moja baridi moja moto hakuna lolote mwisho wa mwezi banki imejaa ela ya madafu... siye ndo twapigika
Naona ni bora sana tuwe tunajadili mambo ya maana kuliko haya unayo leta hapa leo, Jaribu kufikiri zaidi baada ya hapo kitokee nini uwe mbunifu wa hoja za msingi kama huna soma za wenzako zitakusaidia kupanua uelewa mkuu
mkuu achana nae kesho tupeleke ujumbe kwa kikwete..