Kama unaona hili si la maana basi hauna haja ya kutoa mawazo ya kuliponda wakati wenzako wanaliona la maana,na kama unaona post zako tu ndizo za maana hapa JF basi kaanzishe forum yako ambayo watu watakuwa wanachangia unachotoa wewe.Naona ni bora sana tuwe tunajadili mambo ya maana kuliko haya unayo leta hapa leo, Jaribu kufikiri zaidi baada ya hapo kitokee nini uwe mbunifu wa hoja za msingi kama huna soma za wenzako zitakusaidia kupanua uelewa mkuu
Wanakiri hadharani kuwa wanakosa raha na hata usingizi kwa challenge wanazozipata ila kwa raia wa kawaida hawatawapata maana watu wamechoka kwenda kuona mtu akichekacheka bila kuwapa kile watu wanachotarajia katika maisha yao.Wataingia mitaani kukodisha raia kuwajaza ground ila kama challenge bana sasa hivi ccm wana-face!
We pongo kweli kajaribu uone chamoto kilichotokea january 5 kitakupata.
Itakuwa safi na itaonyesha ni jinsi gani tulivyochoka na ukandamizaji wa CCM,huku Arusha CCM haikubariki kabisa hata kidogo,natamani Mungu awachome moto CCM wote na vibaraka wao humu jamvini! Freedom is coming.
Walikuwa wanawahi moja baridi moja moto hakuna lolote mwisho wa mwezi banki imejaa ela ya madafu... siye ndo twapigikaKamuulize Mkuu wa magamba siku ile alijisikiaje baada ya wabunge wa CDM kutoka bungeni wakati anataka kuhutubia.