Je mnakumbuka vijana tulivyojengwa kimaadili kupitia salamu za darasani wakati mwalimu akiingia:
" Siasa ya Ubaguzi wa Rangi ni Unyama...Shikamoo mwalimu". Je kuna haja ya kuja na salamu mpya hili kuelemisha kizazi hiki kuhusu mmomonyoko wa maadili Tanzania?
Mfano kuna haja ya kurudisha hiyo salamu kwa kuibadilisha kidogo mfano:" siasa ya kunyanyapaa kikabila ni Unyama......."
Naomba kuwakilisha Hoja.
Shadow.
" Siasa ya Ubaguzi wa Rangi ni Unyama...Shikamoo mwalimu". Je kuna haja ya kuja na salamu mpya hili kuelemisha kizazi hiki kuhusu mmomonyoko wa maadili Tanzania?
Mfano kuna haja ya kurudisha hiyo salamu kwa kuibadilisha kidogo mfano:" siasa ya kunyanyapaa kikabila ni Unyama......."
Naomba kuwakilisha Hoja.
Shadow.