Mimi nimeshakata tamaa ya matokeo, sasa nimeamua kuoa ili niwe mwanakijiji kabisaa. Sina muda tena wa kupoteza kusubiria matokeo mimi.
mpaka sasas mwezi wa February hakuna matokeo Hii Sirikali bana- na watu baadhi HOVYO KAMA INAIONA HOVYO WEWE NDO HOVYO
mpaka sasas mwezi wa February hakuna matokeo Hii Sirikali bana- na watu baadhi HOVYO KAMA INAIONA HOVYO WEWE NDO HOVYO
nitumie namba yako ya mtihani nikupe ya kwako..Achen uhuni wanajf toen taarifa sahh hii ni ishu nyet.