Kashaijabutege
JF-Expert Member
- Oct 20, 2010
- 2,696
- 740
Samwel Sitta ameumbuka. Anne Kilango naye ameumbuliwa na wananchi wa Kiwira. Heko wana Kirumba na Kiwira.
Hongereni sana CCM kwa kupunguziwa majukumu maana mmechoka sana na mmechanganyikiwa na hamfai na ni aibu kuitwa mwana-ccm siku hizi kwa kuwa mshakuwa tusi tayari. Namwomba Mungu aendelee kuwapunguzia majukumu kwa mtindo huu huu na azidi kuongeza watu wenye hofu ya Mungu maana nyie mmemkumbatia shetani na hamtaki kumwachia. Na ifikapo 2015 mkapumzike kwa amani.