Malunkwi
JF-Expert Member
- Jan 19, 2011
- 339
- 79
ebu nitajie kipi cha maana alichofanya SITTA kama si kutulipisha mabilioni ya Dowans kwa chuki feki zake dhidi ya mafisadi???
ni bora hata amewafungua macho watz kua nchi yao inaliwa kwa kuruhusu mijadala mizito ya Bungeni, maana kama angeamua kuifunika Rich-Monduli hadi leo wa2 wacngejua kua kuna vigogo wanakula 52m per day, kuhusu kukaa kwn nyumba ya spika ni mfumo mbovu uliopo serikalini na c yeye aliyang'ang'ania kuka ktk hiyo nyumba, kwa taarifa yako kuna baadhi ya mawaziri ambao walipigwa chini ubunge ktk Uchaguzi wa mwaka jana laikini waliendelea kukaa kwn nyumba za mawaziri hadi cku za karibuni, Pia naomba nikusahihishe kua ofisi iliyojenwa pale Urambo ni ofisi ya Mbunge kama zilivyo ofisi zingine za wabunge na c ofisi ya Spika, icpokua ilijengwa wakati Sitta akiwa Spika