Mbona hawatangazii! Au ndio ukubwa wa jiji.Kwa wenye mipesa yao ni muda muafaka mnada unaendeshwa na majembe auction malt.
Walitangaziana wenyewe.Mbona hawakutangaza mapema?
mkuu kama unahitaji pickup ni pm no yako nkutumie picha tuyajenge ninayo tani moja ya hiluxdaaaah ningekuwa mjini ningeenda kujipatia pickup
yaani mkuu wazee wa kichaga vitu rahisi lazima warifae mteremko wa kwasadala.mtu katoa mzigo from Japan mpaka Bongo wewe unataka uchukue kwa urahisi kama unashuka kwa sadala