Fidel80
JF-Expert Member
- May 3, 2008
- 21,947
- 4,444
– Fidel80
- Ukipata mwanamke above 39 yrs upo safe saana
Ngoja niwahi kaunta mara moja kha!
– Fidel80
- Ukipata mwanamke above 39 yrs upo safe saana
Kudadadadadadeki wallahi!
Yani Ashadii mi ndo umeshindwa kunifagilia? Kuanzia sasa ntakuwa namwaga mapointi tu ili nami unirushe hewani kama FM academia.
I love ice cream lete Caramel flavor...lol.. Nitumie PM hapa wataomba na mimi mchoyo..
Ashadii hebu ongeza speed ya thanks.
Nitakutumia PM jinsi ya kupata icecream yako right???
Teh teh teh Seriously Ulichofanya hapo juu kwa Hao members ni fabulous, fantastic Lakini hawa wawili MWANAJAMII1 na babu ASPRIN Wako kwenye top list yangu...Hio quote iko kwenye uzi wa Usitingishe kibiriti ovyo (if not mistaken)Thanks love...
Ukitaka kuona uzuri wa kinywaji hali una kiuu shut your eyes feel the vibe... enjoy
Bora isiwe natural ice cream maana nimesha chumbia hapo am watching you closer
Teh teh teh Seriously Ulichofanya hapo juu kwa Hao members ni fabulous, fantastic Lakini hawa wawili MWANAJAMII1 na babu ASPRIN Wako kwenye top list yangu...
Halafu wewe bila kunichokoza hujisikii raha sio. Koma tena acha kuharibu thread ya Ashadiii
Teh teh teh Seriously Ulichofanya hapo juu kwa Hao members ni fabulous, fantastic Lakini hawa wawili MWANAJAMII1 na babu ASPRIN Wako kwenye top list yangu...
Asprini tatizo mimi nawewe tunakutania kwa watu, na sina copywrites naogopa BAN!
AshaDii THANKS GIVEN 1622...
DA hizo thanks si kaasi iko pouwa?? lol
Aisee.... we mtoto mzuri sana....Teh teh teh Seriously Ulichofanya hapo juu kwa Hao members ni fabulous, fantastic Lakini hawa wawili MWANAJAMII1 na babu ASPRIN Wako kwenye top list yangu...