BAGAH JF-Expert Member Jan 17, 2012 4,523 1,060 Jan 31, 2012 #1 ati, hapo penye U inakuwaje?cjaona nyuzi zake...izo M naona ziko kibao...
Gurta JF-Expert Member Sep 17, 2010 2,234 531 Jan 31, 2012 #4 Pia kwamba wewe huzioni haimaanishi kuwa hazipo.
Dr Lizzy Platinum Member May 25, 2009 30,778 59,133 Jan 31, 2012 #5 Mada za urafiki zipo nyingi tu, jifunze kuchunguza kitu kabla ya kutoa hatam.
Kongosho JF-Expert Member Mar 21, 2011 35,999 24,163 Jan 31, 2012 #6 Kwani wanaotafuta watu wa kuchat ni 'E'?
Safari_ni_Safari JF-Expert Member Oct 5, 2007 23,268 17,097 Jan 31, 2012 #9 Loreen said: cjaelewa muanzisha mada unamaanisha nini? Click to expand... Ya kuwa watu wanajadili zaidi Mapenzi na Mahusiano lakini hawajadili Urafiki(refer jina la jukwaa)
Loreen said: cjaelewa muanzisha mada unamaanisha nini? Click to expand... Ya kuwa watu wanajadili zaidi Mapenzi na Mahusiano lakini hawajadili Urafiki(refer jina la jukwaa)
BAGAH JF-Expert Member Jan 17, 2012 4,523 1,060 Jan 31, 2012 Thread starter #10 Loreen said: cjaelewa muanzisha mada unamaanisha nini? Click to expand... katafute madesa!!