Mentor
JF-Expert Member
- Oct 14, 2008
- 20,329
- 23,873
Aiseee....tulio @New York, US Mnatutenga siyo
Babu unatafuta bifu flaniee...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aiseee....tulio @New York, US Mnatutenga siyo
Babu unatafuta bifu flaniee...
TF namimi nipe hizo 'daireksheni' nije mnapokutana bana, mbona kimya kimya? lol!
Aiseee....tulio @New York, US Mnatutenga siyo
Tukikutana labda tuwe ndani ya mask maana wengine tupo hapa huru kabisa kwa sababu tu hatufahamiani. Napenda sana kutokujulikana ndio maana sichangii mada za mitandao kama facebook
Hata mimi nataka!
Daddy will be around!!Nna uhakika hamna atakaenisogelea!!LolzChonde bibie wacjeniibia tu!!!
Tangu lini ukaona sadaka inaazimwa!!?nafikiri ni vizuri ikawa, Usisahau Biblia !!! sadaka unaweza kuazima!
Hili nalo neno aiseeKula tano mkuu, mimi najuana na wana jf zaidi ya 20, sidhani kama nimebadilika katika comments zangu mimi ndio mimi na nitaendelea kua mimi. Hata nikutane na Raisi wa Inji hii
Hahahaha!!! Wewe huwa unayeyuka kama unakuwa Invisible lol!!!
TF namimi nipe hizo 'daireksheni' nije mnapokutana bana, mbona kimya kimya? lol!
Hahahaha!! lol!!!Huwa tunakutana Jolly Club kila week end lakini nyakati za mchana tu, na mwenyekiti wetu ni Max..... hahaaa haaaaa