Mmmmmm!! Kaka hanielewi baada ya kuvunja ahadi

Pretty

JF-Expert Member
Mar 19, 2009
2,575
552
........Hello wana JF
Mwenzenu simuelewi my bro, kipindi nilivyotaka kuolewa alipinga sana kwa kigezo bado nasoma japokuwa mie sikuona tatizo lolote kwa elimu ninayosoma haipo ngumu sana hadi nishindwe kuolewa kwa sababu ya masomo............kaka alipinga sana na kutaka nije kuolewa baada ya kumaliza masomo yangu, lakini wazazi hawakuwa na pingamizi maana waliona nimeshajikomalia zangu hivyo naweza kumudu mikiki ya ndoa na masomo.

.......Baada ya muda alivyoona nimekomalia kuingia ndoani akaamua kukubali lakini kwa masharti........aliniambia kwamba nisipate ujauzito hadi nimalize masomo, nami nikamuhakikishia kwamba nitajitahidi nisishike mimba hadi nimalize chuo,,, lakini sasa Mungu alivyo wa ajabu baada ya miezi 2 ya ndoa mie nikanasa mimba.........hivi sasa nipo likizo nimerudi home, hivyo ikabidi nikamjulie hali kaka yangu mpendwa nyumbani kwake,lakini cha ajabu baada ya kuona hali niliyokuwa nayo ya ujauzito kaka kakasirika hakuwa na furaha. Nakwambia nimesemwa mie na kaka hadi basi..........mbaya zaidi kaamua kunichunia sababu nimevunja promise.Hajui sasa mie sio mtoto tena nina ndoa yangu hivyo nimekuwa mtu mzima.

..........Kwanza ni kaka yangu pekee ninampenda na yeye alikuwa ananipenda na kuniongoza vizuri haswa kielimu.
Mwenzenu sijui nifanyeje?.........I mean nitumie mbinu gani ili nielewane na kaka yangu maana nampenda sana kaka yangu sipendi kuona anakasirika kwa ajili yangu.
 
........Hello wana JF
Mwenzenu simuelewi my bro, kipindi nilivyotaka kuolewa alipinga sana kwa kigezo bado nasoma japokuwa mie sikuona tatizo lolote kwa elimu ninayosoma haipo ngumu sana hadi nishindwe kuolewa kwa sababu ya masomo............kaka alipinga sana na kutaka nije kuolewa baada ya kumaliza masomo yangu, lakini wazazi hawakuwa na pingamizi maana waliona nimeshajikomalia zangu hivyo naweza kumudu mikiki ya ndoa na masomo.

.......Baada ya muda alivyoona nimekomalia kuingia ndoani akaamua kukubali lakini kwa masharti........aliniambia kwamba nisipate ujauzito hadi nimalize masomo, nami nikamuhakikishia kwamba nitajitahidi nisishike mimba hadi nimalize chuo,,, lakini sasa Mungu alivyo wa ajabu baada ya miezi 2 ya ndoa mie nikanasa mimba.........hivi sasa nipo likizo nimerudi home, hivyo ikabidi nikamjulie hali kaka yangu mpendwa nyumbani kwake,lakini cha ajabu baada ya kuona hali niliyokuwa nayo ya ujauzito kaka kakasirika hakuwa na furaha. Nakwambia nimesemwa mie na kaka hadi basi..........mbaya zaidi kaamua kunichunia sababu nimevunja promise.Hajui sasa mie sio mtoto tena nina ndoa yangu hivyo nimekuwa mtu mzima.

..........Kwanza ni kaka yangu pekee ninampenda na yeye alikuwa ananipenda na kuniongoza vizuri haswa kielimu.
Mwenzenu sijui nifanyeje?.........I mean nitumie mbinu gani ili nielewane na kaka yangu maana nampenda sana kaka yangu sipendi kuona anakasirika kwa ajili yangu.

pole sana pretty, just give ur brother some time atakuzoea tu katika hali hiyo muhimu muonyeshe you can handle both of them, yani ujauzito wako hautaaffect performance yako kielimu.
inakua ngumu kwake kukubali kutokana na kwamba bado ana fikra kwamba u are still his young baby sister anapenda bado kukuongoza kwenye mafanikio, huyo kaka hana nia mbaya kabisa nawe its just he love her sister sana! u are lucky to have a brother who care pretty!
 
pole sana pretty, just give ur brother some time atakuzoea tu katika hali hiyo muhimu muonyeshe you can handle both of them, yani ujauzito wako hautaaffect performance yako kielimu.
inakua ngumu kwake kukubali kutokana na kwamba bado ana fikra kwamba u are still his young baby sister anapenda bado kukuongoza kwenye mafanikio, huyo kaka hana nia mbaya kabisa nawe its just he love her sister sana! u are lucky to have a brother who care pretty!
Sasa ili asiendelee kumuudhi kaka yake, mi namshauri afanye abortion.:focus:
 
pretty...............kaka ni mwanamme na anawajua wanaume wenziwe kuwa kumfuja mwanamke ni rahisi sana. wewe kushindwa kumaliza shule kwa sababu ya familia ni rahisi mno na inataka juhudi za ziada kwako ili uweze kupata grades kama ulizokuwa ukipata kabla hujawa na majukumu ya ndoa hasa utakapokuwa na mtoto.

Kaka anakuona 'huna deal' kwa sababu umeweka ndoa na watoto mbele ya elimu......atakuelewa iwapo utamthibitishia kuwa elimu yako iko pale pale kwenye orodha ya vitu muhimu kwako na grades zako hazitaathiriwa na ndoa au mtoto.

i hope that is possible
 
Tell your bro to mind his own business. Ndo wanaovunja ndoa za watu hao. Anakuwa kama wifi bana aaaargh.
 
Sasa ili asiendelee kumuudhi kaka yake, mi namshauri afanye abortion.:focus:
bora unajua uko offtopic, sasa abortion hapa inakujaje? kwani kakuambia hawezi kulea? ebu mshauri basi afanyeje kakake arudishe attention?
 
bora unajua uko offtopic, sasa abortion hapa inakujaje? kwani kakuambia hawezi kulea? ebu mshauri basi afanyeje kakake arudishe attention?
Ushauri wangu ni kuwa, maadam ameamua kuolewa na ameshaolewa. Awe na mimba au asiwe nayo: amsikilize mumewe na wala si kakake, dadake, mjombake, shangaziye, bibie, babuye, mamake, babake!

Have I made my self clear??
 
ushauri wangu ni kuwa, maadam ameamua kuolewa na ameshaolewa. Awe na mimba au asiwe nayo: amsikilize mumewe na wala si kakake, dadake, mjombake, shangaziye, bibie, babuye, mamake, babake!

have i made my self clear??

yes sir!
 
........Hello wana JF
Mwenzenu simuelewi my bro, kipindi nilivyotaka kuolewa alipinga sana kwa kigezo bado nasoma japokuwa mie sikuona tatizo lolote kwa elimu ninayosoma haipo ngumu sana hadi nishindwe kuolewa kwa sababu ya masomo............kaka alipinga sana na kutaka nije kuolewa baada ya kumaliza masomo yangu, lakini wazazi hawakuwa na pingamizi maana waliona nimeshajikomalia zangu hivyo naweza kumudu mikiki ya ndoa na masomo.

.......Baada ya muda alivyoona nimekomalia kuingia ndoani akaamua kukubali lakini kwa masharti........aliniambia kwamba nisipate ujauzito hadi nimalize masomo, nami nikamuhakikishia kwamba nitajitahidi nisishike mimba hadi nimalize chuo,,, lakini sasa Mungu alivyo wa ajabu baada ya miezi 2 ya ndoa mie nikanasa mimba.........hivi sasa nipo likizo nimerudi home, hivyo ikabidi nikamjulie hali kaka yangu mpendwa nyumbani kwake,lakini cha ajabu baada ya kuona hali niliyokuwa nayo ya ujauzito kaka kakasirika hakuwa na furaha. Nakwambia nimesemwa mie na kaka hadi basi..........mbaya zaidi kaamua kunichunia sababu nimevunja promise.Hajui sasa mie sio mtoto tena nina ndoa yangu hivyo nimekuwa mtu mzima.

..........Kwanza ni kaka yangu pekee ninampenda na yeye alikuwa ananipenda na kuniongoza vizuri haswa kielimu.
Mwenzenu sijui nifanyeje?.........I mean nitumie mbinu gani ili nielewane na kaka yangu maana nampenda sana kaka yangu sipendi kuona anakasirika kwa ajili yangu.

Bro wako ana Wivu tu unamsumbua! Kimsingi sio kama alikuwa hataki uolewe bali Hakutaka Umegwe yaani yeye suala la kumegwa Linamuumiza sana ndiyo maana akaweka Sharti la Kwamba Usipate Mimba akiamini kwamba jamaa huenda Hamegi. Sasa Umepata Mimba Bro ana Uhakika jamaa huwa anamega sasa bro roho inamuuma sana. Ni kawaida Sister unajua sisi wanaume huwa tunachelewa sana kukua (Siyo Kiumri) Kwa hiyo Utoto Unamsumbua ila akikua ataacha tu
 
Bro wako ana Wivu tu unamsumbua! Kimsingi sio kama alikuwa hataki uolewe bali Hakutaka Umegwe yaani yeye suala la kumegwa Linamuumiza sana ndiyo maana akaweka Sharti la Kwamba Usipate Mimba akiamini kwamba jamaa huenda Hamegi. Sasa Umepata Mimba Bro ana Uhakika jamaa huwa anamega sasa bro roho inamuuma sana. Ni kawaida Sister unajua sisi wanaume huwa tunachelewa sana kukua (Siyo Kiumri) Kwa hiyo Utoto Unamsumbua ila akikua ataacha tu
Duh! si mchezo hii comment kiboko.
 
nimekakosa jamani!
eti ule ujumbe wa dasophy unakuhusu?
Ujumbe gani? Infidelizesheni au? Kama una contacts zake please do the needful. Wife pale home yuko safarini kwenye mwezi....:focus:
 
Ujumbe gani? Infidelizesheni au? Kama una contacts zake please do the needful. Wife pale home yuko safarini kwenye mwezi....:focus:
si anakutaka uende kwake kila saa!
si fear hivyo ndo kumsema hapa!
 
si anakutaka uende kwake kila saa!
si fear hivyo ndo kumsema hapa!
Sorry, leo sijavaa mawani yangu........... ulimaanisha fair au? Kama ni hivyo ulitaka aendelee kufanya siri siyo? So infidelity inakuwa fair ikifanyika kwa siri? Sasa nimekuelewa vema!
 
1.Mhakikishie kaka yako kuwa utazidisha bidii ya masomo na utafaulu sana.
2.Mweleze mumeo kuwa masomo kwako ni muhimu sana sana hivyo unategemea support kubwa toka kwake.
3. Nawe pia fanya juu chini usome kwa juhududi zote,ikiwezekana hata ndimu tembea nayo kwenye bag ili usipoteze muda wa kwenda kuitafuta gengeni ili uzuie kichefuchefu(just in case).Perfomance yako ikishakuwa nzuri, kamwonyeshe kaka .......utaona atakavyochekelea.
 
Bro ako anakuhurumia sana maisha ya Ndoa si lele mama.
Yawezekana hao mashemeji unao wachagua anawajua in and out wakujiexpress anakuepusha na dhoruba.
 
1.Mhakikishie kaka yako kuwa utazidisha bidii ya masomo na utafaulu sana.
2.Mweleze mumeo kuwa masomo kwako ni muhimu sana sana hivyo unategemea support kubwa toka kwake.
3. Nawe pia fanya juu chini usome kwa juhududi zote,ikiwezekana hata ndimu tembea nayo kwenye bag ili usipoteze muda wa kwenda kuitafuta gengeni ili uzuie kichefuchefu(just in case).Perfomance yako ikishakuwa nzuri, kamwonyeshe kaka .......utaona atakavyochekelea.
And why on earth should she tell her brother while she is answerable to her husband?

Mi hata siwaelewi. Huyo kaka anamsaidia kuukabili mtarimbo wa mumewe? UKISHAAMUA KUOLEWA PRETTY WANGU, unaachana na Baba na mama yako na vinavyohusiana nao unaelekeza nguvu, juhudi, maarifa, akili, muda na mwili wako (hasa uke wako) kwa MUMEO NA FAMILIA YAKO. Period!
 
Back
Top Bottom