Dreamliner
JF-Expert Member
- Jan 17, 2010
- 2,034
- 213
Karibu sana Afrodenz tulikumiss sana next tyme ukiwa unaondoka PM me pls
Kama mimi! Sio vizuri hivyo Afrodenzi...
Karibu sana Afrodenz tulikumiss sana next tyme ukiwa unaondoka PM me pls
Obuntu ali-miss sana AD! Bahati mbaya kuanzia kesho hakuna "starehe" mpaka last wiki ya April.. Otherwise ningefanya PATI ya kumkaribisha AD!
Obuntu ali-miss sana AD! Bahati mbaya kuanzia kesho hakuna "starehe" mpaka last wiki ya April.. Otherwise ningefanya PATI ya kumkaribisha AD!
naomba niwe wa mwisho kukukaribisha . karib sana. nilikumiss mpaka nikakutafuta kwa google haukutokeaHi sis naomba hizo digits basi..
ni pm maana maji yamefika shingoni..
naomba niwe wa mwisho kukukaribisha . karib sana. nilikumiss mpaka nikakutafuta kwa google haukutokea
heheh leo niko off, lakini wewe jumatano sharp njoo klinik na nguo nyepesi nyepesi ili kuepusha matatizo ya overheat kichwani.My dear wa mwisho ni wa kwanza
Hakuna100bila 1au 0...
Nway nilikwambia nikiumwa kichwa narudi
Sasa matibabu yanaanza lini dear??
heheh leo niko off, lakini wewe jumatano sharp njoo klinik na nguo nyepesi nyepesi ili kuepusha matatizo ya overheat kichwani.
Hi sis naomba hizo digits basi..
ni pm maana maji yamefika shingoni..
Hahaha lol
ngoja nika delete my inbox
Maanake mmmhhh
Hahaha lol
hujambo lakini...
sijambo dear..nina uchovu tu kwa safari ndefu..but happy womens day**
Pole na safari my dear
I'm sure ur enjoying the
bubble bath now hahaha lol
Myb u should get that spar pool.
Samahani kuuliza vipi
Yule bibie alikuwa mja mzito..?