Fidel80 JF-Expert Member May 3, 2008 21,947 4,444 May 12, 2010 #2 Hahahahaha wadanganyika mtaendelea kupoteza uhuru wenu wa kupata viongozi bora.
Anyisile Obheli JF-Expert Member Dec 13, 2009 3,398 319 May 12, 2010 #3 mwongo huyo ana interest na english, wapi huyooo? tuwe makini ni majangiri hayoo
Chimunguru JF-Expert Member May 3, 2009 10,678 4,350 May 12, 2010 #4 Ukiona hivyo AHADI hazitekelezeki, na wanajua hata mfanye nini KURA wataiba tuuuu
PakaJimmy JF-Expert Member Apr 29, 2009 16,203 8,724 May 12, 2010 #5 Ndio maana mkwere ana jeuri ya kusema kura za wafanyakazi hazimbabaishi!..Ndio walewale!