MMmmmh!.......nimeathirika........................ .......

lol.. sasa hapa unanitafutia ugomvi na Preta wangu

-Umri.... babu elasticity ya nanii sio sawa na ya bibi ambae estrogen hazitengenezwi kwa sasa
-lishe..penye lishe bora hata ngozi hungaa babu vivyo hivyo kwenye kikojoleo
-genetics- hata genetics zinasema tunatofautiana kwa mambo mengi
-shuruba za maisha.. kuna wengine wanaendesha baiskeli bana.. huwezi niambia elasticity yake iwe sawa na ya nanii ambae anaendesha Q7!
-Dawasco.. maji pia ni issue babu huku kwetu kwa gude dawasco tunawasikia tu sasa maji ya chumvi nayo yanaalter ile tensile strength ya kikojoleo...lol elasticity ya kwa gude tofauti na ya masaki bana
Ahaa.... hebu:

Mabinti wawili mapacha wanaoishi sehemu moja na kula chakula cha aina moja na kupata kila kitu sawa sawa.......... elasticity inakuwa sawa?
 
Ahaa.... hebu:

Mabinti wawili mapacha wanaoishi sehemu moja na kula chakula cha aina moja na kupata kila kitu sawa sawa.......... elasticity inakuwa sawa?

haiwezi kuwa sawa 100%! bado kuna factors zingine.. hata mazoezi ya viungo nayo yanaalter elasticity. lool
 
anaonekana anampenda sana mke wake ile mbaya..


Anampenda mtu asiyekuwepo tangia miaka mitano iliyopita?

Anampenda Marehemu? Sio hata alimpenda na kwa kuwa hayupo ameamua kuyakubali mapenzi ya Mungu na kuikubali hali halisi?

Kwa nini aliamua kuoa kama bado anampenda marehemu mke wake?

Haoni kama anamuumiza huyo mke mwingine aliyekubali kuolewa naye pamoja na hiyo hali yake ya kufiwa na mke?

Huyu kaka ana tatizo ambalo dawa yake ni yeye mwenyewe.....Si sawa kabisa kumlinganisha mtoto wa watu na Marehemu mke wake.

Kama bado anampenda asingeoa.......................angekaa tu aendelee kumpenda huyo marehemu mke wake.
 
lol.. sasa hapa unanitafutia ugomvi na Preta wangu

-Umri.... babu elasticity ya nanii sio sawa na ya bibi ambae estrogen hazitengenezwi kwa sasa
-lishe..penye lishe bora hata ngozi hungaa babu vivyo hivyo kwenye kikojoleo
-genetics- hata genetics zinasema tunatofautiana kwa mambo mengi
-shuruba za maisha.. kuna wengine wanaendesha baiskeli bana.. huwezi niambia elasticity yake iwe sawa na ya nanii ambae anaendesha Q7!
-Dawasco.. maji pia ni issue babu huku kwetu kwa gude dawasco tunawasikia tu sasa maji ya chumvi nayo yanaalter ile tensile strength ya kikojoleo...lol elasticity ya kwa gude tofauti na ya masaki bana



samora, naona unatafuta maneno na akina Husninyo weye,
shauri lako...........................
 
We Samora ntake radhi..... mi natumia VodaCom bana......khaaa!

ha ha ha haaaa babu nisamehe, ila kwa umri wako umeona na kusikia mengi bana... si vibaya kushare na wajukuu

Nimeona mengi lakini si MINATO lol
Nlienda kwenye kikao cha harusi wakawa wanaulizia gharama za picha za MNATO.......... nilitoka mkuku nikapiga breki chooni...Khaa!

Samora.....Mnato uko ubongoni mwa mtu. Vile vitu viko sawasawa. Ni elastic!

ha ha ha haaaa lol.. nimekusoma babu

Unaweza kunipa vitu vinavyofanya elasticity ya kikojoleo cha mwanamke ku-vary?

lol.. sasa hapa unanitafutia ugomvi na Preta wangu

-Umri.... babu elasticity ya nanii sio sawa na ya bibi ambae estrogen hazitengenezwi kwa sasa
-lishe..penye lishe bora hata ngozi hungaa babu vivyo hivyo kwenye kikojoleo
-genetics- hata genetics zinasema tunatofautiana kwa mambo mengi
-shuruba za maisha.. kuna wengine wanaendesha baiskeli bana.. huwezi niambia elasticity yake iwe sawa na ya nanii ambae anaendesha Q7!
-Dawasco.. maji pia ni issue babu huku kwetu kwa gude dawasco tunawasikia tu sasa maji ya chumvi nayo yanaalter ile tensile strength ya kikojoleo...lol elasticity ya kwa gude tofauti na ya masaki bana

Ahaa.... hebu:

Mabinti wawili mapacha wanaoishi sehemu moja na kula chakula cha aina moja na kupata kila kitu sawa sawa.......... elasticity inakuwa sawa?

haiwezi kuwa sawa 100%! bado kuna factors zingine.. hata mazoezi ya viungo nayo yanaalter elasticity. lool



nyie bandugu, tunaongelea jinsi ya kumsaidia huyu mwathirika
anaekula tunda kwa stimu za kusikilizia nyie mnaweka mambo yenu ya elasticity?
waoneni kwanza na maelasticity yenu...........................................?khaaa......
 
nyie bandugu, tunaongelea jinsi ya kumsaidia huyu mwathirika
anaekula tunda kwa stimu za kusikilizia nyie mnaweka mambo yenu ya elasticity?
waoneni kwanza na maelasticity yenu...........................................?khaaa......
Duh samahani mkuu.....hatukujua kuwa NYUKI hapigwi BUSU........................
 

...mnh, sijui akimaliza anamuombea dua? au anamsumbua tu marehemu huko alikolala..
aaarrghh, ...jamaa
inabidi akaonanae na pychiatrist...
[/QUOTE]


hilo ndo la msingi!!!
 
  • Thanks
Reactions: Mbu

Similar Discussions

Back
Top Bottom