Asprin
JF-Expert Member
- Mar 8, 2008
- 68,012
- 95,356
Ahaa.... hebu:lol.. sasa hapa unanitafutia ugomvi na Preta wangu
-Umri.... babu elasticity ya nanii sio sawa na ya bibi ambae estrogen hazitengenezwi kwa sasa
-lishe..penye lishe bora hata ngozi hungaa babu vivyo hivyo kwenye kikojoleo
-genetics- hata genetics zinasema tunatofautiana kwa mambo mengi
-shuruba za maisha.. kuna wengine wanaendesha baiskeli bana.. huwezi niambia elasticity yake iwe sawa na ya nanii ambae anaendesha Q7!
-Dawasco.. maji pia ni issue babu huku kwetu kwa gude dawasco tunawasikia tu sasa maji ya chumvi nayo yanaalter ile tensile strength ya kikojoleo...lol elasticity ya kwa gude tofauti na ya masaki bana
Mabinti wawili mapacha wanaoishi sehemu moja na kula chakula cha aina moja na kupata kila kitu sawa sawa.......... elasticity inakuwa sawa?