Asprin
JF-Expert Member
- Mar 8, 2008
- 68,012
- 95,356
We Samora ntake radhi..... mi natumia VodaCom bana......khaaa!ha ha ha ha kuna vitu mnato mkuu.. ngoja babu aspirin aje atupe experience
We Samora ntake radhi..... mi natumia VodaCom bana......khaaa!ha ha ha ha kuna vitu mnato mkuu.. ngoja babu aspirin aje atupe experience
We Samora ntake radhi..... mi natumia VodaCom bana......khaaa!
We Samora ntake radhi..... mi natumia VodaCom bana......khaaa!
Nilitaka kushangaa bacha umeoa lini? Lol.
Nafikiri huyo kaka alikuwa anapata zaidi ya anachokipata sasahv kwa mke wake wa kwanza na ndio maana ni ngumu kumtoa akilini mke wake wa kwanza.
Nimeona mengi lakini si MINATO lolha ha ha haaaa babu nisamehe, ila kwa umri wako umeona na kusikia mengi bana... si vibaya kushare na wajukuu
Yap meditation za aina hiyo huwakuta zaidi wanawake however ikitokea kwa mwanaume basi ni kwa muda then hufutika
Nimeona mengi lakini si MINATO lol
Nlienda kwenye kikao cha harusi wakawa wanaulizia gharama za picha za MNATO.......... nilitoka mkuku nikapiga breki chooni...Khaa!
Samora.....Mnato uko ubongoni mwa mtu. Vile vitu viko sawasawa. Ni elastic!
ndoa za mkeka sitaki hata kuzickia.Huyo mkaka mwambie awe analifikiri tendo analolifanya badala ya mkewe. Akili na mawazo yote yawe kwenye game.mmmh........Husninyo kwani umesahau ndoa za mkeka kuwa bado zipo?sasa hebu mwambie huyu mkaka afanyaje ili aondokane na huo udhia..........
Nimeona mengi lakini si MINATO lol
Nlienda kwenye kikao cha harusi wakawa wanaulizia gharama za picha za MNATO.......... nilitoka mkuku nikapiga breki chooni...Khaa!
Samora.....Mnato uko ubongoni mwa mtu. Vile vitu viko sawasawa. Ni elastic!
samora........neno la mtu mzima dawa ujue..........
Unaweza kunipa vitu vinavyofanya elasticity ya kikojoleo cha mwanamke ku-vary?nimemsoma mkuu ila nahisi hajapata ugoro leo ngoja nimsogezee kibobo chake.. japo mi najua elasticity pia inavary kutokana na factors mbali mbali
Unaweza kunipa vitu vinavyofanya elasticity ya kikojoleo cha mwanamke ku-vary?
Unaweza kunipa vitu vinavyofanya elasticity ya kikojoleo cha mwanamke ku-vary?