Mmmmh!!!!!!.......Allergy ya kutongoza wadada!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!

Rose nimekuwa nikickia neno SHAROBALO Neno hili lina maana gani. Na mimi natamani sana kwenye ujumbe wangu niweke katuni nifundisheni jamani.

kwa kweli hilo neno sijui maana yake.ujumbe upi unaozungumzia???signecha au?sijakupata dear...:embarrassed:
 
kwa jinsi moyo wangu ulivyotua kwako siwezi tamka neno la kukukwaza hata kidogo
wewe ndio barafu wangu mama!
potezea hizo habari zingine bana DA!!!!!

Ha ha ha ha wanaume walaghai nyie hamfai ha ha ha ha mie simo hata kidogo haya nimekuelewa my love.
 
Ha ha ha ha wanaume walaghai nyie hamfai ha ha ha ha mie simo hata kidogo haya nimekuelewa my love.

Lakini DA, Naomba unihakikishie usalama wangu
Najua muda si mrefu BE atatokea hapa na kubwata kwa hasira
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom