bacha
JF-Expert Member
- Aug 19, 2010
- 4,282
- 797
kuna jamaa hajui kama anaumwa au la!yeye kila amwonapo mwanamke aliyevaa kimini au alie na makalio makubwa basi ni kosa kubwa kwani ni lazima amfate na kuanza kumtongoza!
Haijalishi ameshapigwa vibuti vingapi kwani anadai ameshavizoea vibuti!Uwezo wa kujizuia hana pindi akiona wanawake wa dizaini hiyo!!
Kwa siku moja anaweza pigwa vibuti 3 kwa wastani!!!
Jamani, anauliza sasa hii ni allergy au ni nini?
Haijalishi ameshapigwa vibuti vingapi kwani anadai ameshavizoea vibuti!Uwezo wa kujizuia hana pindi akiona wanawake wa dizaini hiyo!!
Kwa siku moja anaweza pigwa vibuti 3 kwa wastani!!!
Jamani, anauliza sasa hii ni allergy au ni nini?