mmmh!!!!!!!!!!!!!!!!!

Mi nina miaka 3 pia bana.Nina GPA YA 4.2 ya Udsm ila ukweli ni Chabo si unajua tena mambo yetu yale..Ila mpaka najilaumu kwa nini nilikua napiga chabo maana sina kitu ku-head....Sijapata kazi kwan makampun mengi hayaangalii cheti wala chuo uichosoma..Kit unandugu. Au Pesa..Na experience.
acha kuongepea umma, tuambie tu una GPA ya Mkwe.re tutakuelewa.
 
Back
Top Bottom