Power G
JF-Expert Member
- Apr 20, 2011
- 3,886
- 1,193
Inategemea na aina ya kazi unayoitafutasikujua kama kutafuta kazi ni shughuli nzito hivi!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
Inategemea na aina ya kazi unayoitafutasikujua kama kutafuta kazi ni shughuli nzito hivi!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
<br />Inategemea na aina ya kazi unayoitafuta
acha kuongepea umma, tuambie tu una GPA ya Mkwe.re tutakuelewa.Mi nina miaka 3 pia bana.Nina GPA YA 4.2 ya Udsm ila ukweli ni Chabo si unajua tena mambo yetu yale..Ila mpaka najilaumu kwa nini nilikua napiga chabo maana sina kitu ku-head....Sijapata kazi kwan makampun mengi hayaangalii cheti wala chuo uichosoma..Kit unandugu. Au Pesa..Na experience.
<br />acha kuongepea umma, tuambie tu una GPA ya Mkwe.re tutakuelewa.
<br />acha kuongepea umma, tuambie tu una GPA ya Mkwe.re tutakuelewa.
huyu anadhan 4.2 UDSM ni sawa na kuchuma kisamvu cha makaburini.<br /><br />
<br /><br />
G.P.A ya M.k.w.e.r.e ni ip?. Tulikuwa tunaita gentlemen wakat nipo SUA.
<br />huyu anadhan 4.2 UDSM ni sawa na kuchuma kisamvu cha makaburini.
****** si alipata G.P.A ya 2.0?<br /><br />
<br /><br />
G.P.A ya ****** ni ip?