menny terry
JF-Expert Member
- Mar 18, 2011
- 509
- 667
Saudia Rabia kila binti anae fikia kuolewa huchunguzwa kuwa kama bado bikra au la! na imebainika kuwa 80% ya mabinti huolewa wakiwa mabikra, baada ya maandamano ya misri maafisa wa jeshi nao wamefanya utafiti kwa mabinti ambao walikuwa wanaandamana ilikujua kama walipoteza bikra zao katika lile liuwanja la tar rir square coz walijumuika na wanaume! Sasa je hapa kwetu ukifanyika huo utafiti kunaatakae toka kweli? Coz kila demu siku hiz utasikia akiitwa mtumba a.k.a used a.k.a screpa.Enzi zile binti alikuwa ana olewa hata kupiga busu hajui lakini leo demu anatembeza denda kama lion messi anavyopiga machenga yaani ni noma.