Lukolo
JF-Expert Member
- Dec 2, 2009
- 5,143
- 3,196
Angalieni hii video hadi mwisho halafu mtoe comments kuhusiana na huu ugaidi wa CCM! Kwakweli hii nchi inahitaji mapinduzi ya mtutu, au nguvu ya umma. Maana kwa hali kama hii ni wazi hawataweza kutoka madarakani kwa njia ya kura.
[video]http://www.youtube.com/v/aQQdjIon93U?version=3'><param[/video]
[video]http://www.youtube.com/v/aQQdjIon93U?version=3'><param[/video]