KakaJambazi
JF-Expert Member
- Jun 5, 2009
- 18,713
- 12,063
Huyu jamaa sjui anamfahamu kweili au labda ni chuki binafsi/wivu tu.
Anadai alizaa mwaka 2002 ni mwongo alizaa mwaka 2000, mimba alimsingizia Fadhili wa Mererani, akamwoa baadaye alimwacha kwa kuwa alizaa mtoto MWarabu, ilisemekana ni ya mmiliki wa mabus ya Shabiby. Akarudi kwa mmiliki huyo ambaye alimtolea nje, ndipo alipoolewa na Adam mtoto wa Ilala, ndoa ilidumu miaka 2 akaachwa mwaka 2008 kwa kukosa uaminifu, hapo ndo aliingia mtaani akapanga inza ambako kwa siku aliingiza wanaume 3 hadi 4 wakimwemo wafanyabiashara maarufu, wabunge, mawaziri, pia mataifa mbalimbali, na baada ya vurugu hizo za mchana kutwa usiku aliishia kwenye club kubwa kubwa jijini nako hakuacha kuondoka na mtu, mpaka alipompata Mhe. ktk kanda ya Ziwa akamhamishia Kndoni nako hakuacha michezo michafu hadi akawagonganisha Waheshimiwa. Kwa ninavyomjua haendi Bungeni kuwakilisha vijana anacho anachotafuta. CCM kaingia lini wakati ndugu rafiki zake waliomsindikiza kununua kadi ya CCM pale Kinondoni ili aonekane ni mwanachama hai wanao ushahidi tosha, tena alinunua kadi laki 4. Leo hii mwandishi unakuja na ujanja wa kuuza gazeti ati Amina thubutu atapata wapi busara za Amina huyo. Alifukuzwa kazi Bank M na Barclays, pia ameshafanya mazoezi ITV na Channel Ten ambako hawakumchukua kwa utovu wa nidhamu. CCM imechemka ati kwa vile tu ni kiburudisho cha wakubwa. Kazi kweli kweli.
pale
,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,
Source: Amina chifupa arejea! - Global Publishers
Anadai alizaa mwaka 2002 ni mwongo alizaa mwaka 2000, mimba alimsingizia Fadhili wa Mererani, akamwoa baadaye alimwacha kwa kuwa alizaa mtoto MWarabu, ilisemekana ni ya mmiliki wa mabus ya Shabiby. Akarudi kwa mmiliki huyo ambaye alimtolea nje, ndipo alipoolewa na Adam mtoto wa Ilala, ndoa ilidumu miaka 2 akaachwa mwaka 2008 kwa kukosa uaminifu, hapo ndo aliingia mtaani akapanga inza ambako kwa siku aliingiza wanaume 3 hadi 4 wakimwemo wafanyabiashara maarufu, wabunge, mawaziri, pia mataifa mbalimbali, na baada ya vurugu hizo za mchana kutwa usiku aliishia kwenye club kubwa kubwa jijini nako hakuacha kuondoka na mtu, mpaka alipompata Mhe. ktk kanda ya Ziwa akamhamishia Kndoni nako hakuacha michezo michafu hadi akawagonganisha Waheshimiwa. Kwa ninavyomjua haendi Bungeni kuwakilisha vijana anacho anachotafuta. CCM kaingia lini wakati ndugu rafiki zake waliomsindikiza kununua kadi ya CCM pale Kinondoni ili aonekane ni mwanachama hai wanao ushahidi tosha, tena alinunua kadi laki 4. Leo hii mwandishi unakuja na ujanja wa kuuza gazeti ati Amina thubutu atapata wapi busara za Amina huyo. Alifukuzwa kazi Bank M na Barclays, pia ameshafanya mazoezi ITV na Channel Ten ambako hawakumchukua kwa utovu wa nidhamu. CCM imechemka ati kwa vile tu ni kiburudisho cha wakubwa. Kazi kweli kweli.
pale
,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,
Source: Amina chifupa arejea! - Global Publishers