mito
JF-Expert Member
- Jun 20, 2011
- 10,513
- 10,404
- Thread starter
- #21
jamani kuna wanaume vinganganizi wanaweza kukuharibia ndoa so iktokea mwenye mali akiongea at least anapunguza au anakata kabsa usumbufu
Nashukuru sana Eversmilin, nadhani wewe ndo umepigilia kabisa pale pale kwenye kiini cha mada yangu. Naona wachangiaji wengi wameichukulia juu juu sana