ukikua utaacha
Bado NgeeLJa!
te te te .... Sijui wewe ni kaka au dada ila kweli hii nimeipenda, imekaa vizuripamoja na msiba huo, lile deni wanalotudai bado liko pale pale na linazidi kuongezeka kufuatia riba inayopanda kwenye tozo ya msingi.kwa kesi za jinai, mshtakiwa akifariki huo ndio mwisho wa kesi. Kwa kesi za madai, mshitaki au mshtakiwa akifariki, kesi inaendelea na warith wanalipwa madai yao.dawa ya deni kulipa, tayari tanesco imejipanga kupandisha umeme kwa asilimia 155% ili kufidia deni la dowans.masikini atakuwa amekufa na kinyongo cha deni lake. Laana ya deni la marehemu ni mbaya!. Hebu na tujihimu tulipe mapema kabla haijatushukia.rip mmiliki wa dowans!?
wewe unamaanisha ulichoandika au unaandika ulichomaanisha.........bado kiwkete.
Sijui kama ilishawahi postiwa hapa!
Habari nilizonazo ni kuwa mmoja kati ya watu ambao Mh. Ngeleja aliwataja kuwa ni wamiliki wa Dowans, Bw. Guy Picard amefariki dunia nchini kwao Canada.
Bw. Picard alikuwa anasumbuliwa na saratani ya utumbo kwa muda mrefu na alikuwa nchini Canada kwa matibabu.
Mwenyezi Mungu ailaze mahali pema Peponi roho ya marehemu Picard.
Inna lillah waina illahi rajiun!
rip dowanssijui kama ilishawahi postiwa hapa!
Habari nilizonazo ni kuwa mmoja kati ya watu ambao mh. Ngeleja aliwataja kuwa ni wamiliki wa dowans, bw. Guy picard amefariki dunia nchini kwao canada.
Bw. Picard alikuwa anasumbuliwa na saratani ya utumbo kwa muda mrefu na alikuwa nchini canada kwa matibabu.
Mwenyezi mungu ailaze mahali pema peponi roho ya marehemu picard.
Inna lillah waina illahi rajiun!
Nimecheka mbavu zinauma....weye shauri yako!! I was expecting to read Rest in Hell nyingi lakini niliposoma hii imebidi nicheke.Mi nilijua mkuu wa kaya kafa kumbe..............RIP marehemu
English haijatulia,changia kwa Kiswahili,you may lead us into confusion owing to poor English you have.
Kwahiyo ulitaka niseme 'you may has?'Shule zenu za chini ya mwembe zitawapa taabu.How poor you are!
Tumelipa.Pamoja na msiba huo, lile deni wanalotudai bado liko pale pale na linazidi kuongezeka kufuatia riba inayopanda kwenye tozo ya msingi.
Kwa kesi za jinai, mshtakiwa akifariki huo ndio mwisho wa kesi. Kwa kesi za madai, mshitaki au mshtakiwa akifariki, kesi inaendelea na warith wanalipwa madai yao.
Dawa ya deni kulipa, tayari Tanesco imejipanga kupandisha umeme kwa asilimia 155% ili kufidia deni la dowans.
Masikini atakuwa amekufa na kinyongo cha deni lake. Laana ya deni la marehemu ni mbaya!. Hebu na tujihimu tulipe mapema kabla haijatushukia.
Rip mmiliki wa Dowans!?
Naona unafukua tu makaburi ya DOWANS usiku huu P.Tumelipa.
P