'Mmiliki' wa DOWANS afariki dunia!

Sijui kama ilishawahi postiwa hapa!

Habari nilizonazo ni kuwa mmoja kati ya watu ambao Mh. Ngeleja aliwataja kuwa ni wamiliki wa Dowans, Bw. Guy Picard amefariki dunia nchini kwao Canada.

Bw. Picard alikuwa anasumbuliwa na saratani ya utumbo kwa muda mrefu na alikuwa nchini Canada kwa matibabu.

Mwenyezi Mungu ailaze mahali pema Peponi roho ya marehemu Picard.
Inna lillah waina illahi rajiun!

The demise of Mr. Guy Picard does not count now as far as DOWANS is concerned!
 
English haijatulia,changia kwa Kiswahili,you may lead us into confusion owing to poor English you have.
Na wewe pia English haijatulia. "YOU MAY LEAD US INTO CONFUSION" nI Kiingereza kibovu na wala "POOR ENGLISH YOU HAVE" si sahihi.
 
Pamoja na msiba huo, lile deni wanalotudai bado liko pale pale na linazidi kuongezeka kufuatia riba inayopanda kwenye tozo ya msingi.

Kwa kesi za jinai, mshtakiwa akifariki huo ndio mwisho wa kesi. Kwa kesi za madai, mshitaki au mshtakiwa akifariki, kesi inaendelea na warith wanalipwa madai yao.

Dawa ya deni kulipa, tayari Tanesco imejipanga kupandisha umeme kwa asilimia 155% ili kufidia deni la dowans.

Masikini atakuwa amekufa na kinyongo cha deni lake. Laana ya deni la marehemu ni mbaya!. Hebu na tujihimu tulipe mapema kabla haijatushukia.

Rip mmiliki wa Dowans!?

Kwa hili la Dowans: Kama huyu alikuwa ni mmoja wa "wamiliki"; "warithi" wake waweza kuwa akina nani? Kama hawapo inakuwaje?
 
Usiseme tujihimu,unakosea!
Sema wajìhimu walipe DENI
Pamoja na msiba huo, lile deni wanalotudai bado liko pale pale na linazidi kuongezeka kufuatia riba inayopanda kwenye tozo ya msingi.

Kwa kesi za jinai, mshtakiwa akifariki huo ndio mwisho wa kesi. Kwa kesi za madai, mshitaki au mshtakiwa akifariki, kesi inaendelea na warith wanalipwa madai yao.

Dawa ya deni kulipa, tayari Tanesco imejipanga kupandisha umeme kwa asilimia 155% ili kufidia deni la dowans.

Masikini atakuwa amekufa na kinyongo cha deni lake. Laana ya deni la marehemu ni mbaya!. Hebu na tujihimu tulipe mapema kabla haijatushukia.

Rip mmiliki wa Dowans!?
 
Pamoja na msiba huo, lile deni wanalotudai bado liko pale pale na linazidi kuongezeka kufuatia riba inayopanda kwenye tozo ya msingi.

Kwa kesi za jinai, mshtakiwa akifariki huo ndio mwisho wa kesi. Kwa kesi za madai, mshitaki au mshtakiwa akifariki, kesi inaendelea na warith wanalipwa madai yao.

Dawa ya deni kulipa, tayari Tanesco imejipanga kupandisha umeme kwa asilimia 155% ili kufidia deni la dowans.

Masikini atakuwa amekufa na kinyongo cha deni lake. Laana ya deni la marehemu ni mbaya!. Hebu na tujihimu tulipe mapema kabla haijatushukia.

Rip mmiliki wa Dowans!?

Samahani, nje ya mada.
We ndio yule jamaa wa PPR tulieambiwa kua umo humu jamvini,
eti ukatupa ushauri kua tukubali kuna maendeleo ya kuridhisha ndani ya hii miaka 50 yetu??
Majina yanafanana kidogo!!
Kama hili swali ni "name calling" Mods mnisamehe kwani naulizia tu!!
 
Sijui kama ilishawahi postiwa hapa!

Habari nilizonazo ni kuwa mmoja kati ya watu ambao Mh. Ngeleja aliwataja kuwa ni wamiliki wa Dowans, Bw. Guy Picard amefariki dunia nchini kwao Canada.

Bw. Picard alikuwa anasumbuliwa na saratani ya utumbo kwa muda mrefu na alikuwa nchini Canada kwa matibabu.

Mwenyezi Mungu ailaze mahali pema Peponi roho ya marehemu Picard.
Inna lillah waina illahi rajiun!

Ailaze wapi hyo roho ilyodhurumu taifa maskin kias hicho! Sema Mungu ailaze pale panapoistahl pmoja na adhabu kali! Af mi nlidhan ni mmiliki mmbongo ndo kadenja! Kumbe mkanada!
 
Samahani, nje ya mada.
We ndio yule jamaa wa PPR tulieambiwa kua umo humu jamvini,
eti ukatupa ushauri kua tukubali kuna maendeleo ya kuridhisha ndani ya hii miaka 50 yetu??
Majina yanafanana kidogo!!
Kama hili swali ni "name calling" Mods mnisamehe kwani naulizia tu!!
Shark, mimi ni Pasco (wa jf), nimo humu na ni mwanachama hai, na yule jamaa pia yumu humu humu jf yuko kwa jina lake, unaweza kumuuliza mwenyewe maswali yako, anazo thread zake kibao, kama mimi nilivyo na thead zangu.

Ila pia kwenye issue ya maendeleo ndani ya hii miaka 50, mawazo yangu, yanafanana na yake, kwamba kwenye miaka hii 50, sio kweli kuwa nothing was done kwenye maendeleo, something was done, no matter how little, it is something, better than nothing!
Tuuache huu mjadala, turudi kwenye mada.

Hata hii Richmond/Dowans, is something, its not nothing, watu wametumia akili, wameunda kampuni hewa, wamejipa tenda, wakaiuza kwa kampuni nyingine, mkataba umevunjwa, tunadaiwa fedha kweli. Zitto kashauri tuinunue ile mitambo, watu wakapiga kelele ni mitambo chakavu!. Wakauza mitambo kwa Simbion, sasa tunanunua umeme kwa bei ya mara kumi zaidi, kama tungenunua umeme, is that nothing?, That is something!.

Mkuu wa nchi kasema hawajui, EL kamtaja ndie aliyewakingia kifua, is that nothing?.

Sasa tutachangishwa kupitia bili za umeme, wenzetu watalipwa tozo na watawekeza humu humu nchini, is that nothing?.

ndio maana nasisitiza walipwe mapema!.
 
Na wewe pia English haijatulia. "YOU MAY LEAD US INTO CONFUSION" nI Kiingereza kibovu na wala "POOR ENGLISH YOU HAVE" si sahihi.

Kwahiyo ulitaka niseme 'you may has?'Shule zenu za chini ya mwembe zitawapa taabu.How poor you are!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom